Ya JWTZ, Hakuna adui wala rafiki wa kudumu...

Ya JWTZ, Hakuna adui wala rafiki wa kudumu...

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Wanajamvi leo naomba tujiulize na kusaidiana je hakuna madhara ya jeshi letu kuonesha wazi mbinu na vifaa vyao mbele ya hadhara ya raia na maadui ?
Sote tunajua kuwa kuna mgogoro wa Tanzania na nchi kama Rwanda,Malawi na wengine tusiowajua je tunajiamini nini? Rais Joice Banda na Yoweri museveni wameshuhudia uchi wa jwtz je hawajanoti kitu chochote! Na ikumbukwe kuwa Tbc inarusha matangazo karibu dunia nzima na kimsingi huwezui jua adui anakuja lini na anatokea wapi sasa leo tumejiamini,nani atalipa ghalama ya kuanika jeshi letu?

Tumekuwa tangu wadogo tukijua kuwa maswala ya ndani ya jwtz hayajadiliwi waa kusemwa ovyo ndiyo maana raia haruhusiwi kuingua ivyo kwenye Makambi yao kwa sababuvya usiri na unyeti wa jwtz yenyewe.sasa leo kila raia anaweza kusimulia na bahati mbaya zana nzito zimeoneshwa na kupigwabpicha na watu waliotaka nani atabeba madhara yanayoweza kujitokeza.
Na je nini lilikuwa lengo mahususi kulianika jeshi?
 
Wanajamvi leo naomba tujiulize na kusaidiana je hakuna madhara ya jeshi letu kuonesha wazi mbinu na vifaa vyao mbele ya hadhara ya raia na maadui ?
Sote tunajua kuwa kuna mgogoro wa Tanzania na nchi kama Rwanda,Malawi na wengine tusiowajua je tunajiamini nini? Rais Joice Banda na Yoweri museveni wameshuhudia uchi wa jwtz je hawajanoti kitu chochote! Na ikumbukwe kuwa Tbc inarusha matangazo karibu dunia nzima na kimsingi huwezui jua adui anakuja lini na anatokea wapi sasa leo tumejiamini,nani atalipa ghalama ya kuanika jeshi letu?

Tumekuwa tangu wadogo tukijua kuwa maswala ya ndani ya jwtz hayajadiliwi waa kusemwa ovyo ndiyo maana raia haruhusiwi kuingua ivyo kwenye Makambi yao kwa sababuvya usiri na unyeti wa jwtz yenyewe.sasa leo kila raia anaweza kusimulia na bahati mbaya zana nzito zimeoneshwa na kupigwabpicha na watu waliotaka nani atabeba madhara yanayoweza kujitokeza.
Na je nini lilikuwa lengo mahususi kulianika jeshi?

endelea kunywa kahawa. hakuna tatizo na wala TZ sio wa kwanza kufanya hivyo....data za kila nchi ina silaha za aina ipi na yenye nguvu zipi zipo WAZI...ktk ulimwengu wa leo...issue ni matumizi ya silaha on the war grounds......
 
Wanajamvi leo naomba tujiulize na kusaidiana je hakuna madhara ya jeshi letu kuonesha wazi mbinu na vifaa vyao mbele ya hadhara ya raia na maadui ?
Sote tunajua kuwa kuna mgogoro wa Tanzania na nchi kama Rwanda,Malawi na wengine tusiowajua je tunajiamini nini? Rais Joice Banda na Yoweri museveni wameshuhudia uchi wa jwtz je hawajanoti kitu chochote! Na ikumbukwe kuwa Tbc inarusha matangazo karibu dunia nzima na kimsingi huwezui jua adui anakuja lini na anatokea wapi sasa leo tumejiamini,nani atalipa ghalama ya kuanika jeshi letu?

Tumekuwa tangu wadogo tukijua kuwa maswala ya ndani ya jwtz hayajadiliwi waa kusemwa ovyo ndiyo maana raia haruhusiwi kuingua ivyo kwenye Makambi yao kwa sababuvya usiri na unyeti wa jwtz yenyewe.sasa leo kila raia anaweza kusimulia na bahati mbaya zana nzito zimeoneshwa na kupigwabpicha na watu waliotaka nani atabeba madhara yanayoweza kujitokeza.
Na je nini lilikuwa lengo mahususi kulianika jeshi?

Hakuna tatizo, wanatakiwa uwaoneshe japo kidogo kuwa wasijaribu, wakijaribu tuko imara.
 
Uwe na amani kabisa kiongozi, zile ni zana chache sana na tena ni common kwa majeshi mengi.
Jeshi liko sawa na linajua nini linafanya wakati wa maonyesho, hata nchi nyingine wanafanya hivyo kwa wananchi wake katika maadhimisho mbalimbali.
Jeshi liko thabiti na ni mbinu tu ndiyo zinafanya nchi ishinde vita.
 
mleta mada laiti kama ungeona military show off ya jesh la china,usingethubutu kuwa na shaka.

tembelea youtube i bet utapata clip za kutosha toka mataifa mbalimbali ambayo yameshafanya jambo kama hili lililofanywa leo na JWTZ.

ni kitu cha kawaida sana kwa majeshi ya ulimwengu wa sasa.
 
Uwe na amani kabisa kiongozi, zile ni zana chache sana na tena ni common kwa majeshi mengi.
Jeshi liko sawa na linajua nini linafanya wakati wa maonyesho, hata nchi nyingine wanafanya hivyo kwa wananchi wake katika maadhimisho mbalimbali.
Jeshi liko thabiti na ni mbinu tu ndiyo zinafanya nchi ishinde vita.

Naanza kufarijika.
 
Wanajamvi leo naomba tujiulize na kusaidiana je hakuna madhara ya jeshi letu kuonesha wazi mbinu na vifaa vyao mbele ya hadhara ya raia na maadui ?
i

ondoa shaka ipo dunia nzima....
china..
chinese-military-power_12_1.jpg


russia...
2100498_orig.jpg
 
military show off SOUTH KOREA..
_70201852_019498996-1.jpg
 
QATAR MILITARY SHOW OFF/PARADE...
Qatar+to+participate+in+military+armored+vehicles+parade+soldiers+doha+%25283%2529.jpg
 
Wanajamvi leo naomba tujiulize na kusaidiana je hakuna madhara ya jeshi letu kuonesha wazi mbinu na vifaa vyao mbele ya hadhara ya raia na maadui ?
Sote tunajua kuwa kuna mgogoro wa Tanzania na nchi kama Rwanda,Malawi na wengine tusiowajua je tunajiamini nini? Rais Joice Banda na Yoweri museveni wameshuhudia uchi wa jwtz je hawajanoti kitu chochote! Na ikumbukwe kuwa Tbc inarusha matangazo karibu dunia nzima na kimsingi huwezui jua adui anakuja lini na anatokea wapi sasa leo tumejiamini,nani atalipa ghalama ya kuanika jeshi letu?

Tumekuwa tangu wadogo tukijua kuwa maswala ya ndani ya jwtz hayajadiliwi waa kusemwa ovyo ndiyo maana raia haruhusiwi kuingua ivyo kwenye Makambi yao kwa sababuvya usiri na unyeti wa jwtz yenyewe.sasa leo kila raia anaweza kusimulia na bahati mbaya zana nzito zimeoneshwa na kupigwabpicha na watu waliotaka nani atabeba madhara yanayoweza kujitokeza.
Na je nini lilikuwa lengo mahususi kulianika jeshi?

Mkuu yaani kweli na wewe umeamini ya kwamba wametoa kila kitu hadharani!!! Hakuna kitu kama hicho, hayo ni maonesho tu na wala si hali halisi ambayo ipo kwenye jeshi letu! Mambo ni makubwa, pale wameonjeshwa tu.

 
Back
Top Bottom