Xiaomi vs Oppo nichukue ipi?

ngoja tu nichukue note 12
Kama unaipata around laki 4 ni simu nzuri sana mkuu, ila hakikisha sio 12 4g ama 12 4G pro zote hazina issue, hio yenye sd 4 gen 1 ndio nzuri.

Kama wadau huko juu walivyoongea weakness za simu za Xiaomi ni software yao, kama utaweza kucheza nayo kutoa toa blotware itasaidia.

Alternative za hii simu ni Samsung Galaxy A14 5G lakini version ya Exynos 1330. Sijajua Tanzania inakuja Ipi, Dimensity 700 ama hio Exynos 1330, simu hii pia ipo budget range ya 400-500K.
 
Kuhusu bloatware, kwenye MIUI 14 unaweza kutoa zote kasoro apps 8 tu, NAKAZIA
Kufuta bloatware iwe hatua ya kwanza utakaponunua simu yako
 
blaatware ni nini mkuu, naomba ufafanuzi na unafutaje
Bloatware ni zile apps ambazo zinakuwa pre-installed kwenye software ya simu. Software zenye bloatware nyingi ni One UI ya Samsung, HiOS ya Tecno, EMUI ya Huawei, MIUI ya Xiaomi n.k
Bloatware zinachukua space kubwa kwenye storage, na mara nyingi ni useless na Xiaomi amekuwa akiweka bloatware za Google, games za kitoto, browser mbili (Mi Browser na Chrome), gallery apps mbili (Mi Gallery na Google Photos), Tiktok, Snack Video, Mi Community, GetSub, Facebook n.k
Mimi natumia MIUI 12.5 ina bloatware chache kidogo na sijazifuta coz nyingi ninazitumia
Ila ni vyema kuzifuta ili kuongeza free space kwenye simu yako na jambo jema ni kwamba nyingi zinafutika

Kwenye MIUI 14 unaweza kufuta bloatware zote kasoro apps nane tu, so hakikisha unafuta bloatware
 
Bloatware ni zile apps ambazo zinakuwa pre-installed kwenye software ya simu. Software zenye bloatware nyingi ni One UI ya Samsung, HiOS ya Tecno, EMUI ya Huawei, MIUI ya Xiaomi n.k
Bloatware zinachukua space kubwa kwenye storage, na mara nyingi ni useless na Xiaomi amekuwa akiweka bloatware za Google, games za kitoto, browser mbili (Mi Browser na Chrome), gallery apps mbili (Mi Gallery na Google Photos), Tiktok, Snack Video, Mi Community, GetSub, Facebook n.k
Mimi natumia MIUI 12.5 ina bloatware chache kidogo na sijazifuta coz nyingi ninazitumia
Ila ni vyema kuzifuta ili kuongeza free space kwenye simu yako na jambo jema ni kwamba nyingi zinafutika

Kwenye MIUI 14 unaweza kufuta bloatware zote kasoro apps nane tu, so hakikisha unafuta bloatware
shukrani mkuu,kama zinafutika hii ni njema,maana kwenye hii opo ninayotumia ina appl nyingi ambazo sizitumio na hazifutiki
 
Zotw mbaya tu natumia red me mbaya inacheza cheza app inajioperate yenyewe mbaya sana , bosi oppo nimbaya hizo simu acha tu.

Ila Kwa kamera ni nzuri kama upo serious Nunua iphone 8 au 10 au iphone x nzuri sana .

Samsung sio mbaya inadumu haina kipengele chochote labda ni haikai na charge
 
efooball unacheza, na halistuck?
Nacheza fresh kabisaa bila tabu kwakweli! Hakuna cha kustuck wala nn na hapa ndo nimetoka kucheza
Screenshot_2023-05-21-00-37-40-26_3db50e74cc26eae809a3d46a08578351.jpg
 
Zotw mbaya tu natumia red me mbaya inacheza cheza app inajioperate yenyewe mbaya sana , bosi oppo nimbaya hizo simu acha tu.

Ila Kwa kamera ni nzuri kama upo serious Nunua iphone 8 au 10 au iphone x nzuri sana .

Samsung sio mbaya inadumu haina kipengele chochote labda ni haikai na charge

Zotw mbaya tu natumia red me mbaya inacheza cheza app inajioperate yenyewe mbaya sana , bosi oppo nimbaya hizo simu acha tu.

Ila Kwa kamera ni nzuri kama upo serious Nunua iphone 8 au 10 au iphone x nzuri sana .

Samsung sio mbaya inadumu haina kipengele chochote labda ni haikai na charge
Sio kila Redmi ni nzuri zipo mbaya pia
Ila Redmi Note 12 ni nzuri. Sio kama hiyo unayotumia, ni vizuri kubadilisha simu kama hujaipendaPia hata Samsung mbaya zipo, usikariri. Always be specific. Na hizo iPhone X haziuzwi kwa laki 4. Soma kiasi ambacho mleta mada amekileta
 
Zotw mbaya tu natumia red me mbaya inacheza cheza app inajioperate yenyewe mbaya sana , bosi oppo nimbaya hizo simu acha tu.

Ila Kwa kamera ni nzuri kama upo serious Nunua iphone 8 au 10 au iphone x nzuri sana .

Samsung sio mbaya inadumu haina kipengele chochote labda ni haikai na charge
Umeongea Tu huna hoja za msingi huwenda binti Tu wewe
 
Wakuu habari,

Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni 420,000.

Je, ni simu gani midrange itanifaa kwa hiyo hela?

Naombeni ushauri.
Acha kufananisha redmi na upuuzi
 
Chukua redmi 10c na chenchi
Wakuu habari,

Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni 420,000.

Je, ni simu gani midrange itanifaa kwa hiyo hela?

Naombeni ushauri.
 
Inategemea simu unafanyia kazi gani Sasa Kama unaingia jf na wasap na kupiga media tek itakufaa
Ukitaka kupotea fatisha hayo mambo ya chip, nimekuja kugundua sio mediatek zote mbaya wala sd zote nzuri, hapa natumia mediatek ila nafurahia simu balaa, nshanunuaga sd ikawa inastack na kuganda mpaka nikaiuza so soma user rews hizo huwa hazidanyanyi ila specification sometime ni chumvi na gimmics
 
Back
Top Bottom