Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,761
- 5,039
ngoja tu nichukue note 12
Uamuzi mzuri sana 👍ngoja tu nichukue note 12
ngoja tu nichukue note 12
Uamuzi mzuri sana 👍ngoja tu nichukue note 12
Kama unaipata around laki 4 ni simu nzuri sana mkuu, ila hakikisha sio 12 4g ama 12 4G pro zote hazina issue, hio yenye sd 4 gen 1 ndio nzuri.ngoja tu nichukue note 12
Bloatware ni zile apps ambazo zinakuwa pre-installed kwenye software ya simu. Software zenye bloatware nyingi ni One UI ya Samsung, HiOS ya Tecno, EMUI ya Huawei, MIUI ya Xiaomi n.kblaatware ni nini mkuu, naomba ufafanuzi na unafutaje
blaatware ni nini mkuu, naomba ufafanuzi na unafutaje
shukrani mkuu,kama zinafutika hii ni njema,maana kwenye hii opo ninayotumia ina appl nyingi ambazo sizitumio na hazifutikiBloatware ni zile apps ambazo zinakuwa pre-installed kwenye software ya simu. Software zenye bloatware nyingi ni One UI ya Samsung, HiOS ya Tecno, EMUI ya Huawei, MIUI ya Xiaomi n.k
Bloatware zinachukua space kubwa kwenye storage, na mara nyingi ni useless na Xiaomi amekuwa akiweka bloatware za Google, games za kitoto, browser mbili (Mi Browser na Chrome), gallery apps mbili (Mi Gallery na Google Photos), Tiktok, Snack Video, Mi Community, GetSub, Facebook n.k
Mimi natumia MIUI 12.5 ina bloatware chache kidogo na sijazifuta coz nyingi ninazitumia
Ila ni vyema kuzifuta ili kuongeza free space kwenye simu yako na jambo jema ni kwamba nyingi zinafutika
Kwenye MIUI 14 unaweza kufuta bloatware zote kasoro apps nane tu, so hakikisha unafuta bloatware
efooball unacheza, na halistuck?Mi natumia Oppo A9-2020 tangia mwaka 2021 mpaka leo sijawah ata kupeleka kwa fundi! Iko fresh kabisa haina tabu yoyote kwakweli na game kunwa nacheza fresh tu
Nacheza fresh kabisaa bila tabu kwakweli! Hakuna cha kustuck wala nn na hapa ndo nimetoka kuchezaefooball unacheza, na halistuck?
Zotw mbaya tu natumia red me mbaya inacheza cheza app inajioperate yenyewe mbaya sana , bosi oppo nimbaya hizo simu acha tu.
Ila Kwa kamera ni nzuri kama upo serious Nunua iphone 8 au 10 au iphone x nzuri sana .
Samsung sio mbaya inadumu haina kipengele chochote labda ni haikai na charge
Sio kila Redmi ni nzuri zipo mbaya piaZotw mbaya tu natumia red me mbaya inacheza cheza app inajioperate yenyewe mbaya sana , bosi oppo nimbaya hizo simu acha tu.
Ila Kwa kamera ni nzuri kama upo serious Nunua iphone 8 au 10 au iphone x nzuri sana .
Samsung sio mbaya inadumu haina kipengele chochote labda ni haikai na charge
Umeongea Tu huna hoja za msingi huwenda binti Tu weweZotw mbaya tu natumia red me mbaya inacheza cheza app inajioperate yenyewe mbaya sana , bosi oppo nimbaya hizo simu acha tu.
Ila Kwa kamera ni nzuri kama upo serious Nunua iphone 8 au 10 au iphone x nzuri sana .
Samsung sio mbaya inadumu haina kipengele chochote labda ni haikai na charge
Nakubali cotex lazima 75 iwe nayoNacheza fresh kabisaa bila tabu kwakweli! Hakuna cha kustuck wala nn na hapa ndo nimetoka kucheza
View attachment 2629382
Acha kufananisha redmi na upuuziWakuu habari,
Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni 420,000.
Je, ni simu gani midrange itanifaa kwa hiyo hela?
Naombeni ushauri.
Utaliwa mkuu
Wakuu habari,
Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni 420,000.
Je, ni simu gani midrange itanifaa kwa hiyo hela?
Naombeni ushauri.
Ukitaka kupotea fatisha hayo mambo ya chip, nimekuja kugundua sio mediatek zote mbaya wala sd zote nzuri, hapa natumia mediatek ila nafurahia simu balaa, nshanunuaga sd ikawa inastack na kuganda mpaka nikaiuza so soma user rews hizo huwa hazidanyanyi ila specification sometime ni chumvi na gimmics
Utaliwa mkuu