Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,044
- 69,536
Ni katika mkakati wa kuitanua Brand yake zaidi hasa kwenye hii industry, cha ajabu utashangaa wengine wanaigaNimeona mojawapo muda si mrefu. Ni kamuvi kafupi. Ukiangalia inaweza sema imerekodiwa na expensive camera kumbe ni Xiaomi 14 Ultra.
Xiaomi wamepost full movie kwenye account yao ya YouTube