Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,760
- 37,005
1.Xi Anawaua nakuwatesa waisalam wa UIGHUR pale UCHINA wala halina Ubishi hili nikweli kabisa wanawaua Wanatofautiana Nini nawale NATO wanaua WAISLAM mashariki yakati nakwengineko ULIMWENGUNI Pia INDIA usisahau kama wanawatesa nakuwaua WAISALAM wa KASHMIR ?!1. Xi Jinping ndiye kinara wa kutesa watu wa jamii ya Kiislamu huko Xinjiang
2. Ni Kipindi cha Xi Jinping uchumi wa China umeslow
3. Xi Jinping amezidi kuminya uhuru wa wananchi kupata taarifa, wananchi wanalishwa propaganda za chama cha kikomunisti kuliko uhalisia wa yanayojiri duniani kwa mfano Xi Jinping kafungia Google na Youtube, Quora na websotes nyingi za kutoa elimu
4. Xi Jinping na serikali yake waliendesha kampeni ya kupunguza watu weusi waliokuwa wakienda katika mji wa Guangzhou kufanya biashara, Systematically walipiga marufuku hoteli nafuu kuwapokea weusi, wakaacha hoteli za gharama mno ndo ziwe zinapokea watu weusi, Wakafanya masharti ya Viza kwa nchi za Afrika kuwa magumu. Xi Jinping anataka kutumia tekniki ya mikopo (Debt Trap) kuziweka nchi za kiafrika katika himaya ya China
5. Chini ya Xi Jinping, bei za vyakula zimepanda sana na maisha kwa wachina yamekuwa magumu kuliko kipindi cha Hu Jintao
6. Serikali ya Xi Jinping imeonyesha kuvumilia vitendo vibaya vya ubaguzi wa rangi dhidi ya watu weusi, Tuliyoyashuhudia majuzi ya ubaguzi wa kutisha dhidi ya watu weusi yana baraka za serikali ya Xi
7. Serikali ya Xi imekuwa militaristic zaidi kuliko waliotangulia, imekuwa ikitaka kujitanua kibabe, kutaka kuichukua bahari nzima ya South China kwa kudai kuwa ni mali yake, Imezamisha meli ya uvuvi ya vietnam, na kuharass meli za malaysia, Kiufupi ni ujinga kujaribu kunimilikisha bahari kwa madai eti mababu zako walikuwa wsakisafiri kwenye bahari hiyo!. Kama hiyo ingekuwa ni hoja msingi basi Hispania ingedai bahari nzima ya Atlantiki kwa sababu Christopher Columbus alipitia hapo kwenda kuvumbua Americas
8. Xi Jinping anaweza kufanikiwa kuwa powerful leader close to Mao, but hiyo itamaanisha China iliyo dhaifu. China bado ni masikini nyinyi, Kuna mafanikio makubwa katika miji ya Mashariki lakini overall maisha ya watu bado siyo mazuri vya kutosha, mishahara ni midogo na gharama za nyumba haswa mijini ni kubwa sana
9. Kuna consensus ya dunia kwa sasa kuicontain China, hii ni. kwa sababu serikali ya Xi. imesahau ujanja wa watangulizi wake na mbinu yao ya kufukuza "mwizi kimyakimya", Yeye amejisanua wazi, Kafanya parade ya miaka 70 ya China mya na kuonyesha misalaha mikubwakubwa, na kuwafanya west waone kuwa kumbe hawa strategy yao ni. kuwa na uwezo hata wa kuwaangamiza west kwa kuwa na capacity ya kuwapelekra nyukilia kwao. Nila Shaka display ile ya Xi Jinping imewapa NATO uhalali mpya wa kuendelea kuwepo, na kama unavyojua Silaha zinahitaji uchumi, Kitu cha kwanza West watakachokifanya ni kuminya uchumi wa China ili pesa zikalishe watu badala ya kuendelea na programu za misilaha ya kuwadhuru. Xi Jinping anataka kujitanua dunia ione China ilivyo na ngumu, Dunia sasa inapush back
10. Xi Jinping ameshindwa kuelewa siri ya ukimya ya jamii ya China Japo uchumi ulikuwa ukiwapa utulivu wachina, hata ile notion ya uwepo wa mabadiriko ya kiuongozi kila baada ya miaka kumi ilikuwa ni kitu kinachoipa utulivu jamii ya kichina, Kama unavyojua wavhina hawana haki nyingi za kisiasa, ila lile jambo la uwepo wa mabadiriko ya uongozi lilikuwa linasaidia kuifanya nchi iwe na utulivu. Xi Jinping kaondoa term limits na kutaka atawale milele iwapo Mataifa ya dunia yataendelea kuipiga presha China, na investments na Trade kati ya mataifa na China kupungua Xi Jinping atashindwa kwenye ajenda ya uchumi, na kwa kuwa ameshaondoa mlango wa mabadiriko ya amani ya uongozi atslazimika kujiuzulu, au kutokee power struggle ndani ya chama chake, akiwa mbishi kutaanza kutokea fujo mitaani huko China. Kiufupi Xi alikuwa shortsighted kuondoa term limits
2.Kama unategemea RAIS ama taifa litakua linakua kiuchumi Milele pole sana MKUU changamoto Nyingi sana zinatokea zinasababisha UCHUMI kuslow Maadam Ume Slow nahauja anguka basi nikawaida sana mbna MKUU maana hata US mwaka 2008 UCHUMI wao Uliyumba Kweli Kweli
3.Hizo Website Sio Xi tu hata mimi ningekua Rais tu nisinge ziacha hata kidogo zakishenzi hazifai kua katika jamii kama zinatoa elimu Angalia takwimu za wananchi Wa UCHINA kwenye Nyanja ya KIELIMU pia Hao Wamagharibi nao kwakubana Uhuru Hawajambo Wapuuzi tu Nakwapropaganda ndio kabisaa hawafai kupitia hivyo vyombo unavyolalamikia kufungwa ndio vili uwamimisha ulimwengu yakwamba Sadam ana silaha zasumu ila mpaka sasa hatujaziona Hizo nizakufungiwa popote pale ulimwenguni UCHINA wanamitandao yao yakijamii wanamambo yao mengi wanajitegemea wenyewe kwahio kama hawatumii yakimagharibi Ndio mnaona kuminya UHURU?!
4.Hayo Yawatu weusi uliyapata katika vyombo gani vyahabari wakati unasema kama wamezuia Upatikanaji wataarifa Watu tuna ndugu kibao huko UCHINA wanakaa vyema tu japo changamoto zahapa napale wanakumbana nazo Huko ULAYA wao sio wabaguzi kwawatu weusi ?!
Mikopo hamjalazmishwa mnachukua kwakuyajua masharti yake kwamaana mpaka ukichukua umeridhika nayo sasa unailaumu UCHINA kwakipi ?! (nakubaliana na wewe unakuja kwangu unashida nakwambia sawa nakusaidia ila kuna kipengele ili nikusaidie namchukua mkeo anakua mkewangu(samahani kwamfano wangu huu) sasa kama utaridhia nakipengele changu mkeo awe mke wangu mimi nalalamika wapi ama nilikulazimisha si ulikubali mwenyewe masharti yangu
5.Maisha Yamekua Magumu Kuliko US watu wanalala nje hawana hata sehemu zakulala wanapigwa nabaridi namamvua Keki yataifa wanakula watunwachache kina donald na wenzake watu wanatopea katika lindi laumaskini
6.Serikali hawakutoa tamko juu yaliokua yanajiri natamko lao lili husu nn walisema watu wateswe ama wabaguliwe ?!
7.Kama Kujitanua Baharini NATO na bwana wao US wanaongoza maana wao ndio wapo kila kona yadunia Juzi tu hapa tumeona wanailalamikia IRAN inawachokoza kisa wamepitisha boti zao karibu nameli yao yakijeshi iliopo ghuba ya uajemi Haya Huyaoni ?! US na Hao Wazungu wakina NATO wamewapa nini myie watu ?!
8.Hakuna nahaitakaa ije itokee nchi ambayo ina matajiri watupu katika mfumo huu wauendeshaji wakidunia kwani US hakuna Maskini Watu wanalala mpaka nje Uhalifu wakupindukia yote sababu ya hali ngumu halafu huyaoni haya unayaona yawachina Nenda kaiangalie Miji ya US ambayo Majorities wake niwatu weusi unaweza ukanielewa nini namaanisha nasio kama hujui unajua sana nikujitoa tu ufahamu
9.Hayo maneno tu CHINA haija anza kukua kijeshi KISIASA KIUCHUMI kwabahati mbaya nawala haija anza kukua jana wala leo imewachukua miongo namiongo kufika hapa walipo kama walishindwa kuwazuia wakati ndio wanakua kua unahisi watawaweaza sasa wakati washakua
wameona haina haja yakwenda nao kimya kimya wacha wawaoneshe maana hawanatena madhara maana hawana lakumfanya UCHINA hawawezi Kumdhuru KISIASA KIUCHUMI(wanampa changamoto zahapa napale) KIJESHI ndio hawawezi wakakaa wakawaza huu upuuzi maana wanajua litakalo watokea
10.Kama ndio mnategemea Kuiangusha CHINA kwamavugu vugu yakutokea ndani poleni sana Mbna Mpaka sasa Mnahangaika na TAIWAN mnahangaika na HONG KONG nahamna JIPYA maana wameandamana mwisho wakaona wakae kama shida kukaa milele hata kina malkia elizabeth pia wamekaa viongozi wamilele wanajifanya hawana mamalaka yakisiasa niwaangalizi tu kumbe wanamasauti katika mambo muhimu zaidi ya UK kuliko wanavyo waaminisha watu wakae wao kwanza waondoe ukomo wamalkia halaf waje walalamikie CCP kwahizo njia unazosema ndio mtegemee kuaingusha UCHINA mtateseka sana tena sanaa sanaaa maana hamtakaa muweze japo mtajaribu sana na sana kama mlivyo jaribu kwa HUAWEI sasa hivi sijui mmeishia wapi



Namwisho kabisa Xi Jinping Kaipigania sana UCHINA KISIASA KIUCHUMI KIJESHI nandio maana unaona mabadiliko Mengi Makubwa ya UCHINA yametokea Kipindi Cha Huyu Mwamba Aliendelea tu pale alipokua anataka kuanza JINTAO jamaa wamagharibi wanamuogopa sana kama wanavyoogopa Kifo
UCHINA inawakosesha Sana Usingizi wamagharibi wenyewe OG wa US wenyewe OG mpaka wahuku jf




Sent using My COVID-19
." Deng xiaping. No matter which ways xi used as long as the economy of china prosper he's a good leader.

