Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,647
- 20,984
Na tunapenda sana kungangania madaraka hata pale tunaposhindwa...!Waafrika ni wapumbavu
Na tunapenda sana kungangania madaraka hata pale tunaposhindwa...!Waafrika ni wapumbavu
Wageni anaowazungumzia yeye siyo raia wa SA, bali ni raia wa nchi nyingine. Kwa hiyo usilinganishe na Kimara kuendelezwa wachaga wa Kilimanjaro ambayo ni sehemu ya Tanzania.Wanasema 80 percent ya mji Ni wageni ok tuseme Yuko sahihi je walitakiwa was attack wageni au was attack serikali yao? Sioni mantiki ya kuwa attack wageni.Huyu kiongozi hayuko sahihi.Pili Kuna miji hata Tanzania wenyeji hawaakai mijini hupenda kukaa vijijini Miji unakuta asilimia kubwa Ni wageni Sio wenyeji mfano Dar es salaam,zaidi ya 80 percent Ni wageni Sio wazaramo wenyeji.Kosa Sio wageni.South Afrika pia wenyeji wengi hukaa vijijini Sio mjini.Tatu miji mingi huanzishwa na wageni mfano Tanzania miji mingi ilianzishwa na wafanyabiashara wageni mfano dar es salaam wageni ndio walioanzisha kariakoo wamanyema wa Kongo,wahindi,wapemba na waarabu maeneo mengine walioanzisha watu wa morogoro kama kigogo na mburahati,kimara wachaga na singida,mbagala wamakua ,wamakonde na wamwera na warufiji ,gongo la mboto watu wa mkoa wa Mara ,kigoma nk anachoongea sikubaliani nacho.Wageni hawana kosa Kama Kuna shida wamalizane za serikali yao.Hao wameenda kufanya biashara sababu wenyeji SI wapenda kufanya biashara.Hiyo sababu SI sahihi
Hiyo ninkazi ya uhamiaji Sio yao wanajuaje kuwa Ni wahamiaji haramu wakati wao Sio uhamiaji?Ukimsikiliza vizuri unaona wanayo sababu ya kupambana na wahamiaji kutoka nchi jirani na zisizo jirani, tatizo njia wanayotumia kupambana na wimbi la wahamiaji haramu ndiyo mbaya.
Go back to school dickheadWeka kiswahili tukuelewe, hii ya how can they killed? Ni kiingereza cha Greenland.
we hujitambui wala hujui unachokiandika! mastermind wa hiyo xhenophobia ni hao wazungu sasa ngoja nikuambie!Afrika kusini Huwezi sikia wazungu wakipiga waafrika weusi wa nchi zingine Ni waafrika wenzetu ndio wanatubagua.Kwa Mara ya kwanza niwaombe msamaha wazungu wa Afrika kusini kuwa tuliwaonea kuwaita wabaguzi kuwapiga mabomu na risasi kumbe wabaguzi Ni waafrika weusi Sio wazungu.Niwaombe Wanigeria waache kushambulia Mali za wazungu wa Afrika kusini zilizomo nchini mwao.Na niwaombe waafrika weusi popote wasiwashambulie wazungu Wala biashara zao
Hapa si rahisi kufanya hivyo labda kama yataratibiwa na Chama tawala na dola kama Yale ya kudai ndegeSijui nivamie nini hapa kitaa
Yeye ndiye alianzisha ujinga huuRais wa SA hana hekima hata kidogo....eti anawaomba wasouth waache kuvamilia biashara za wageni eti kwa ili wasouth waliopo nje wasilipiziwe kisasi.
Uvivu huzaa WivuWasouth Wanabagua sana wa-africa wenzao
wanatamani kumega nchi yao na kuihamishia EUROPE au STATE.
Kile cheo ni cha kupokezana kijiti ila ukweli ilipaswa ili mtu awe mwenyekiti wa SADC nchi yake iwe na utulivu wa kutosha wala haina historia ya uvunjifu wa amani.Hajui diplomasia. Hajui hata cha kufanya. Mmempa majukumu makubwa kuliko akili yake
Achana na kiingereza matusi hayatakufanya ukijue, sahihisha kosa.Go back to school dickhead
Msamehe anamatusi huyu kwani anaona yuko sahihi.???!!
Tatizo ndipo linapo aznia hapa mkuuNadhani serikali ya South Africa haiko serious kulimaliza hili jambo
YeahTatizo ndipo linapo aznia hapa mkuu