Xabi Alonso tuachie timu

Xabi Alonso tuachie timu

Hii timu haijawahi kupata utulivu tangu ilipotaifishwa kutoka kwa mmiliki wake wa awali. Dhuluma ndiyo imeifikisha hii timu hapo ilipo.
Binafsi ninajuta kuwa mshabiki wake.
Hata huyo Xabi Alonzo unamuonea tu. Ni laana ndiyo inaitesa Chelsea. Hata waweke mabeki 10 nyuma bado watafungwa tu.
 
Mfumo hauna shida huo huo mfumo Conte alibeba ligi, shida ni quality na transfer window mwaka huu mmefanya utani mwingi yaani mpaka welbeck yuko Chelsea hivi hii ni nini?
 
Alonso inabidi apewe muda kutengeneza team hata Madrid hakuanza vizuri mpaka akaja kukaa sawa baadae Wachezaji wakaanza kuleta ujeuri ila team ilikuwa imejipata. Ukiangalia pia Bayer Leverkusen napo hakuanza kwa kishindo alishika nafasi 6 ila msimu wa pili alichukua kombe inabidi tumpe muda tusiwe na haraka Mimi binafsi Nina Imani kubwa na Alonso
 
Mbona mapema nyinyi kenge?

Na kwanini haya maoni hautoi kwenye kile kijiwe chenu cha wehu?
 
Huyu kocha jau mfumo wa back three hauwezi kukufikisha popote hatuna beki bora wa kuendana na mfumo,ona sasa tunapigwa kama ngoma.

Mechi tano tumefunga goli 10-tumefungwa 12 .

Martinez anaonekana sio kipa bora kumbe beki zinavuja.

Alonso out
Huu mfumo wake wakikuda hata Poter aliujaribu akafeli vibaya!
Kwa hawa wachezaji legalege dawa yao ni fabregas tu!
 
Back
Top Bottom