Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 784
- 2,063
Kuna tatizo linansumbua sana..Ex wangu ambae tuliachana nae kama mwaka hivi umepita, amerudi kwa kasi kuniomba turudiane..juzi usiku wakati nipo na girlfriend wangu,alinitumia meseji, kwa bahati mbaya simu alikuwa nayo yeye,akaisoma meseji..
ulizuka mtiti wa kufa mtu,mpaka sasa hanielewi..naombeni ushauri wenu jaman,nimfanyeje huyu mtu na nshamwambia laivu kuwa cpo tayari kuwa naye?
ulizuka mtiti wa kufa mtu,mpaka sasa hanielewi..naombeni ushauri wenu jaman,nimfanyeje huyu mtu na nshamwambia laivu kuwa cpo tayari kuwa naye?