X WANGU ANANIPA MAJIBU YA MKATO

X WANGU ANANIPA MAJIBU YA MKATO

Ila pastor maelezo yako hayaeleweki/hayanyooki. Mimba 2 zimetoka, Halafu unamuuliza vipi mimba IPO? Hilo si swali LA kuuliza. Mimba huwa haifichwi. Kama anayo angekwambia. Na kutokana na historia mbaya ya kutoka kwa mimba, possibly unapomuuliza uliza unamuumiza kifikra. Swali la msingi kwako: unaelewa maana ya X? (naomba usichukizwe na swali langu)
OK I'm sory,boss mchepuko wangu
 
Watanzania uandishi tu wa jambo dogo ni shda.tutafika kweli hvi.mleta mada rejea maandishi yako hayana mashiko kiuandish na unacho koment
 
Habari ya jioni wazee wenzangu......
X wangu zmeharibika mimba 2 mpaka sasa,hizi siku amekuwa MTU wa lawama sana
Hataki nimuulize kuhusu mimba anakuwa mkali,
Nifanyeje ili awe sawa?

Kila kheri
Kwanza tutafute thamani ya x maana ukikutana nayo kwenye swali la mtihani ni balaa au ukute imewekwa kwenye nyumba yako yaani hiyo x sio nzuri kabisa
 
  • Thanks
Reactions: 314
Habari ya jioni wazee wenzangu......
X wangu zmeharibika mimba 2 mpaka sasa,hizi siku amekuwa MTU wa lawama sana
Hataki nimuulize kuhusu mimba anakuwa mkali,
Nifanyeje ili awe sawa?

Kila kheri
Eksii, X wako inakuwaje unashadadia ujauzito wake wakati mlishamwagana?
Mlishakatisha mahusiano wewe bado unamfuatafuata kwa nini?
Tena huyo amekustahi sana, ungekutana na maX fyatu, ungekoga matusi hadi ujilaumu.
 
Hana mwanangu,zmeharibika mimba 2,now nikiuliza VP mimba IPO ama!hataki kusikia habari za mimba
Sas si Kashakua X unamuuliza wa nin kuhus mimba kuharbka? Hakuna mahusiano apo anglia mwnmke mwngne
 
Hivi ni peke yangu ambae sjaelewa huu uzi ama ?

Maana ni x wako halaf mimba mbil
Mmmh itakua bongo yangu ngumu aisee
najiuliza swali hili hili pia

kwamba alieandika yupo sawa mi ndo sielewi au mi mgumu kuelewa
 
Sijaelewa ebu nikanawe maji usoni Wenda usingizi unazingua
 
Back
Top Bottom