X WANGU ANANIPA MAJIBU YA MKATO

X WANGU ANANIPA MAJIBU YA MKATO

pastor muyamba

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
252
Reaction score
135
Habari ya jioni wazee wenzangu......
X wangu zmeharibika mimba 2 mpaka sasa,hizi siku amekuwa MTU wa lawama sana
Hataki nimuulize kuhusu mimba anakuwa mkali,
Nifanyeje ili awe sawa?

Kila kheri
 
Lets get things clear first. Why are you asking your ex about her pregnancy.

Pia kumbuka watu wengine hawawezi kuwa peace na wapenzi wao, hata kama waliachana bila shari. So usishangae your ex kukujibu ovyo. Mpotezee.
 
Lets get things clear first. Why are you asking your ex about her pregnancy.

Pia kumbuka watu wengine hawawezi kuwa peace na wapenzi wao, hata kama waliachana bila shari. So usishangae your ex kukujibu ovyo. Mpotezee.
Kinacho niuma SNA mtoto,nafka.mahali akili inachoka najiuliza namtafutia na Mali ?naumia kweli mkuu hata sjamkosea lakini matumizi anataka nimpe!
 
Hapana wako shida ni kuwa na wanawake.wengi,labda nmpate wa mkoa mwingne
 
Kinacho niuma SNA mtoto,nafka.mahali akili inachoka najiuliza namtafutia na Mali ?naumia kweli mkuu hata sjamkosea lakini matumizi anataka nimpe!
Kwahiyo huyo mwanamke ana mtoto wako, ndo unachotaka kusema.

Kwasasa kama hataki kujihusisha na wewe muache, ila endelea kuhudumia kama kawaida. She is the mother of your child kwahiyo vumilia tu, jishushe. Mwambie unahitaji kuwa katika maisha ya huyo mtoto, kwahiyo haitakuwa vizuri mkigombana mara kwa mara. So unaomba muweke pembeni tofauti zenu for the sake of the child. Hata kama mahusiano yenu hayatukuwepo kama zamani.

Ila usimuendekeze, lasivyo atakupelekesha.
 
Kwahiyo huyo mwanamke ana mtoto wako, ndo unachotaka kusema.

Kwasasa kama hataki kujihusisha na wewe muache, ila endelea kuhudumia kama kawaida. She is the mother of your child kwahiyo vumilia tu, jishushe. Mwambie unahitaji kuwa katika maisha ya huyo mtoto, kwahiyo haitakuwa vizuri mkigombana mara kwa mara. So unaomba muweke pembeni tofauti zenu for the sake of the child. Hata kama mahusiano yenu hayatukuwepo kama zamani.

Ila usimuendekeze, lasivyo atakupelekesha.
Hana mwanangu,zmeharibika mimba 2,now nikiuliza VP mimba IPO ama!hataki kusikia habari za mimba
 
Hana mwanangu,zmeharibika mimba 2,now nikiuliza VP mimba IPO ama!hataki kusikia habari za mimba
Dah sasa kama hana mimba, wewe unastress nini. Mimi nimeandika nikijua kuna mtoto anahusika.

Kama ndo hivyo, kwa majibu yake tu huyo sidhani kama anamimba. Kama angekuwa nayo wala asingekuwa anakuzungusha hivyo kukwambia.

Sijui ndo umempenda au ndo kakujulia kukutega, ila move on with your life. Utapoteza muda wako na effort nyingi kwake, lakini it will be for nothing.
 
Umeshasema x wako una angaika nini. Hivi shida za hii dunia hazitoshi mpaka ujiongezee. Kama mlisha acha kwa nini umsumbue? Wakati mwingine utakuta yupo na mtu wake unamwaribia pozi. Ni halali kabisa ukujibu shortcut
 
Sasa Ex tena unataka kumuuliza mambo ya mimba kwani ni wako tena?

Salamba kaja Simba leo hii huwezi kumuuliza Dawa ya kuchua Misuli ya Lipuli Fc akikujibu basi atakupa jibu la ovyo.
 
Dah sasa kama hana mimba, wewe unastress nini. Mimi nimeandika nikijua kuna mtoto anahusika.

Kama ndo hivyo, kwa majibu yake tu huyo sidhani kama anamimba. Kama angekuwa nayo wala asingekuwa anakuzungusha hivyo kukwambia.

Sijui ndo umempenda au ndo kakujulia kukutega, ila move on with your life. Utapoteza muda wako na effort nyingi kwake, lakini it will be for nothing.
Tatzo kupenda kdogo sijui bado ushamba mwingi,naingiaga miguu yote then kutoka ni shida
 
Hana mwanangu,zmeharibika mimba 2,now nikiuliza VP mimba IPO ama!hataki kusikia habari za mimba
Ila pastor maelezo yako hayaeleweki/hayanyooki. Mimba 2 zimetoka, Halafu unamuuliza vipi mimba IPO? Hilo si swali LA kuuliza. Mimba huwa haifichwi. Kama anayo angekwambia. Na kutokana na historia mbaya ya kutoka kwa mimba, possibly unapomuuliza uliza unamuumiza kifikra. Swali la msingi kwako: unaelewa maana ya X? (naomba usichukizwe na swali langu)
 
Back
Top Bottom