pastor muyamba
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 252
- 135
Habari ya jioni wazee wenzangu......
X wangu zmeharibika mimba 2 mpaka sasa,hizi siku amekuwa MTU wa lawama sana
Hataki nimuulize kuhusu mimba anakuwa mkali,
Nifanyeje ili awe sawa?
Kila kheri
X wangu zmeharibika mimba 2 mpaka sasa,hizi siku amekuwa MTU wa lawama sana
Hataki nimuulize kuhusu mimba anakuwa mkali,
Nifanyeje ili awe sawa?
Kila kheri
