X wako anaporudi huwa kasahau nini hasa?

Nyoka_mzee

JF-Expert Member
Nov 26, 2016
3,695
5,531
Habar za jioni wana jf

Tumaini langu nyote wazima wq afya na wale ambao wenye matatizo mbali mbali ya kiafya na mengineo basi mola wetu mlezi akawafanyie Takhfifu,
Lengo la kuleta uzi huu ni kujaribu kutaka kujua maana wengi tumepitia swala zima la kuachwa iwe kimya kimya ,au kejeli matusi na mengineyi ,
Kinacho nishangaza mwisho wa siku watu hawa huwa wanarudi wenyewe ,
hajalishi itachukuwa muda gani lakini wisho wa siku hurudi tena wa kasi kubwa ,
Ebu tupeane Hapa fikra kipi hasa huwarudisha hawa watu.....

Nawasilisha......!
 
Anaekuacha akirudi ujue huko alikokwenda kuna aliyokutana nayo tena makubwa, au amegundua majani si ya kijani kama alivyotegemea. Mimi silambi matapishi, akirudi mimi ninachapa lapa.
sasa mkuu nachojiuliza huwa wakituacha kuna kitu hudai hawapati na wanapokwenda ndipo kinapopatikana sasa anaporudi huwa najiuliza nakosa sana majibu je nakule kakosa??? na uku aliporudi atakipata???
 
Kakumbuka penzi... Amecompare ameona you ar the best! Imebd arud nyuma
 
Basi hamkuachana, aidha mlipumzishana au kutofautiana au kupeana likizo tu na mkawa mmeenda field kidogo, kuachana sio ishu ndogo
[HASHTAG]#Kadja[/HASHTAG] Nito - nifanye nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom