figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,683
- 59,184
Bibi kizee baada ya kuwa anasumbuliwa na Ugonjwa ikabidi apelekwe dar es salaam kwa Uchunguzi wa moyo. baada ya kumpiga x-ray ya moyo,doctor akamwambia;
bibi tumekuta moyo wako umetoboka katikati na pande zote mbili za moyo zimevimba.
Bibi kizee akashituka sana. akasema;
"kheee...!! nyie watoto angalia msiwe mumenipiga hicho kisero(x-ray) chenu kwenye makalio yangu". Mia
bibi tumekuta moyo wako umetoboka katikati na pande zote mbili za moyo zimevimba.
Bibi kizee akashituka sana. akasema;
"kheee...!! nyie watoto angalia msiwe mumenipiga hicho kisero(x-ray) chenu kwenye makalio yangu". Mia