X-girlfriend anavuruga ndoa yangu

Uzuri ushasema hata mke wako alikuw a anajua kuwa ni x-wako, kwa hiyo cha msingi zbeni masikio endeleeni mbele na ndoa yenu ya x-wako yafanyeni kelele za mbwa koko tu zisiwayumbishe
 
Duuuh...haya bhan
 
Kunawl watu wana vipaji vya kuvumilia ujinga
 
Wanaume wa musoma tutaendelea kubaki na ushujaa wetu na hakuna watakaotuweza kwa ushujaa.unashindwa kumfuata bwana wake na kumchana ukweli upumbavu wa mke wake? Ww mwanaume wa wapi
 
we mwambie humjui, mkane
 
Sikia leta namba ya huyo Ex wako...hana kazi za kufanya nitampa hatokaa akusumbue tena
 
Inaonekana uyo demu ambae umemuacha anaonekana huko alipoenda hafuraii mapenzi anaonekana anateseka na kuisoma no balabala sasa wewe siku akizingua mtie vitasa
 
mkuu mbona kutatua hili tatizo ni rahisi sanaa? unaweza mfuata mme wake ukaongea nae kiuana ume yakaisha pia unaweza mkalisha mke wako na kumwambia asijempa nafasi ya kumsikiliza kwa lolote maana inaelekea wanakaa wanapiga stori ama anamsikiliza ujinga wake.

kuhama nyumba kisa x ni udhaifu ulopitiliza
 
Uko too soft sana kijana

Muite mbele ya mkeo mchane live

Otherwise Ni chai maharage
 
Kwani matokeo ya ule uchunguzi ulimwambia mkeo akuchunguze yalionyesha nini?

Maana ulimwambia naye akuchunguze ili ajilidgishe na hayo maneno,sasa mwambie akupe matokeo ya uchunguzi wake.kama yapo vibaya basi muombe radhi na weka mpango wa utekelezaji wa kuyarekebisha mapungufu.

Vingine vyote ulivyouliza hapa ni kelele tuuu
 
Hapo tatizo ni mke wako na uelewa alionao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…