The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 826
Uzuri ushasema hata mke wako alikuw a anajua kuwa ni x-wako, kwa hiyo cha msingi zbeni masikio endeleeni mbele na ndoa yenu ya x-wako yafanyeni kelele za mbwa koko tu zisiwayumbisheTatizo kubwa ni kwamba tunaishi mtaa mmoja.
Alipata bwana mpya akaniacha kwa matusi na kejeli. Nami nikapata mpenzi alipojua akaanza kumlisha maneno mpenzi wangu kwamba mimi sifai ndo sababu aliniacha. Mpenzi wangu aliponieleza iliniuma ila nikajitetea kwamba anichunguze kama aliyoambiwa ni kweli au la.
Tuliendelea tukawa wachumba, na mwishowe tukafunga ndoa. Lakini huyu x bado hajaridhika,akikutana mtaani na mke wangu anampa mabango,mara atakuacha,mara hafai.
Alipoona mbinu hazijafaulu anaanza kumweleza kuwa eti ninamtaka kimapenzi. Ajabu ni kwamba huyu x naye ana bwana wake.
Hili limemyumbisha mke wangu sana.
Ninajuta kujenga mtaa huu alipo huyu x, mpaka natamani niuze nyumba tuhamie eneo tofauti. Lakini shughuli zangu ziko hapa.
Wakuu hii hali iliwahi kukukuta,ulifanyaje?
[emoji23][emoji23][emoji23] mabaharia siyo watu wazuri aiseeUna picha ya huyo ex wako?
Duuuh...haya bhanYaani unasema unataka uhame nyumba uliyojenga mwenyewe kwa pesa zako kisa vijimaneno vya dear ex, na unakuta ni kabinti flani hivii kimbaumbau hakafiki hata 50 Kgs.! [emoji23]
Niqqah' are you serious.??
Amin, Amin.! Nawaambia, kwa mtindo huu wa maisha, wanaume mtaendelea kuteswa sana na jinsia Ke,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaa basi siwezi kukushauri mkuu...nilitaka nimwone kwanza kabla yakutoa ushauri
Mwanaume unafikiaje hatua ya kuoa wakati huwezi hata fanya maamuzi ya mambo madogo hivyo.?Huyu Ni nataka sitaki.
Mwanamme unaependa ndoa yako ukubali mke wako akose raha kisa ex wako?
Nonsense
we mwambie humjui, mkaneTatizo kubwa ni kwamba tunaishi mtaa mmoja.
Alipata bwana mpya akaniacha kwa matusi na kejeli. Nami nikapata mpenzi alipojua akaanza kumlisha maneno mpenzi wangu kwamba mimi sifai ndo sababu aliniacha. Mpenzi wangu aliponieleza iliniuma ila nikajitetea kwamba anichunguze kama aliyoambiwa ni kweli au la.
Tuliendelea tukawa wachumba, na mwishowe tukafunga ndoa. Lakini huyu x bado hajaridhika,akikutana mtaani na mke wangu anampa mabango,mara atakuacha,mara hafai.
Alipoona mbinu hazijafaulu anaanza kumweleza kuwa eti ninamtaka kimapenzi. Ajabu ni kwamba huyu x naye ana bwana wake.
Hili limemyumbisha mke wangu sana.
Ninajuta kujenga mtaa huu alipo huyu x, mpaka natamani niuze nyumba tuhamie eneo tofauti. Lakini shughuli zangu ziko hapa.
Wakuu hii hali iliwahi kukukuta,ulifanyaje?
halafu unaanzaje kua na ushoga na mtu alieachana na mume??Tena ni mwenyewe aliyemkimbia mchizi hahahha.
Sema ndo ivo, amekutana najamaa mpole pole sana
Hata Kama waliambiwa waishi na sisi kwa akili hapo anahitaji akili kweli?Mwanaume unafikiaje hatua ya kuoa wakati huwezi hata fanya maamuzi ya mambo madogo hivyo.?