BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Pinda anainadi tovuti hiyo!jiulize gharama iliyotumika ku develop web site hiyo utalia!jee serikali ingetumia nguvu hizo kuinadi mlima kilimanjaro kuingia ktk maajabu 7 ya dunia ingekua na tija kuliko haya maadhimisho ambayo mpaka leo mtwara lindi hakuna huduma ya maji!