Haikuwa poa, undertaker kustaafishwa na reigns!! Angestaafishwa na lengend mwezake the likes of John cena ,HHH, au Gorden berg , kama Hbk , ric flair na Austin walivyo staafishwa na malengend wenzao so wat WWE did inafanya tuzidi kumchukia Roman reigns
Wewe ndio zuzu. Mimi niliangalia live. Baki na uzuzu wako kwamba sio kweli.mazuzu pekee ndo wanaamini wwe ni mchezo wa ukweli
ufc ndo kila kitu nasubiri weekend hii ufc 210 main event Cromier vs johnsonWewe ndio zuzu. Mimi niliangalia live. Baki na uzuzu wako kwamba sio kweli.
Na wanaoangalia Movies jee??mazuzu pekee ndo wanaamini wwe ni mchezo wa ukweli
bora movie unajua kabisa maigizo, na si hayo ya mieleka wanaigiza huku wanadanganyaNa wanaoangalia Movies jee??
Ah Jamaa alikuwa Bangi sijaonaa nikichaa wa kupigana mziki wake the rock aliupata vizuriSteve austine nilikua nampenda sana huyu mshikaji, ni mbaya balaa mkuu
Ah Jamaa alikuwa Bangi sijaonaa nikichaa wa kupigana mziki wake the rock aliupata vizuri