twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 461
Yaan kuna binti kakosea namba katuma msg kwangu,nikamwambia soory ni wrong number but akasema please pamoja na hayo let keep in touch nikamjibu okeey haina shida.Baada ya hapo ni mfululizo wa msg na calls mpaka nazima simu muda mwingine.Binti anasema ananipenda sana na nisipomuita mpenzi ananipigia simu analia kabisa,ana wivu sana juu yangu.Nimemwambia siwezi hata kuflirt na wewe, hataki kabisa kunielewa kifupi najuta kumfahamu.Ananitumia msgs utadhani tunajuana na tulishawahi kuwa wachumba mbaya zaidi anataka mpaka kuja ninapoishi(mikoa tofauti).Yaani naona kama ngekewa nimemuomba anitumie picha amesema simu yake ya torch na hajajiunga na mtandao wowote wa kijamii.Wakati mwingine mpaka namuuliza wewe ni jini ama.Haya yote ndani ya siku 3 tu.Nimfanyeje jamani?