Wow!! Jeffrey Epstein is no more

Wow!! Jeffrey Epstein is no more

Aisee sie wa huku nakapanya tunapitwa na mengi mno.
 
Ushahidi?

Mfungwa high profile kama huyo anawezaje kujiua tena baada ya kujaribu kujiua na kushindikana? kwa kawaida watu wa hivyo huwekwa kwenye ,,watch list” hivyo kwa hali ya kawaida isingewezekana yeye kujiua ukichukulia umaarufu wake na ukubwa wa kesi yenyewe plus alishajaribu kujiua juzi kati, ...
 
Mfungwa high profile kama huyo anawezaje kujiua tena baada ya kujaribu kujiua na kushindikana? kwa kawaida watu wa hivyo huwekwa kwenye ,,watch list” hivyo kwa hali ya kawaida isingewezekana yeye kujiua ukichukulia umaarufu wake na ukubwa wa kesi yenyewe plus alishajaribu kujiua juzi kati, ...

Bado hujanipa ushahidi.

Umetoa speculations zako tu.

Ushahidi tafadhali....
 
Bado hujanipa ushahidi.

Umetoa speculations zako tu.

Ushahidi tafadhali....

Sina ushahidi, ila haingii akilini mfungwa aliyejaribu kujiuwa akakutwa unconscious halafu aendelee kuachwa bila ya kuwekwa kwenye watch list, hiyo siyo kawaida.

Huyo anajua/alijua mengi sana hivyo ilikuwa ni lazima afe/ potee, Clinton’s ni paedophiles hiyo ilikuwa ni kesi kubwa sana.
 
Sina ushahidi, ila haingii akilini mfungwa aliyejaribu kujiuwa akakutwa unconscious halafu aendelee kuachwa bila ya kuwekwa kwenye watch list, hiyo siyo kawaida.

Huyo anajua mengi sana hivyo ilikuwa ni lazima afe, Clinton’s ni paedophilia, hiyo ilikuwa ni kesi Kuben sana.

Ahsante kwa kukubali kuwa huna ushahidi!!!!
 
Kiukweli kanishangaza. Mautajiri yote hayo. Hii kesi hata angefungwa ipo siku angetoka tu. Ila aisee msongo wa mawazo ni mbaya sana.
 
Mfungwa high profile kama huyo anawezaje kujiua tena baada ya kujaribu kujiua na kushindikana? kwa kawaida watu wa hivyo huwekwa kwenye ,,watch list” hivyo kwa hali ya kawaida isingewezekana yeye kujiua ukichukulia umaarufu wake na ukubwa wa kesi yenyewe plus alishajaribu kujiua juzi kati, ...
hapo ndio kwenye mzozo ambapo hata mwanasheria mkuu wa marekani anashangazwa nayo
mtu aliye kwenye watch list anajiuaje
ingawa kifo chake kinahusishwa na kina clinton kuficha skenfo zao
 
Inaonesha wengi wana amini Clintons wanahusika.

Barr kasema anahitaji uchunguzi maana mtu kama Epstein kujiua kwenye fed care si jambo lq kawqida
 
Inaonesha wengi wana amini Clintons wanahusika.

Barr kasema anahitaji uchunguzi maana mtu kama Epstein kujiua kwenye fed care si jambo lq kawqida
Trump pia anahusishwa kwenye huu msala, sema chain ni kubwa saba, kuna hadi vigogo wa Russia wanahusishwa
 
.
20260201_091931.jpg
 
Yule bilionea wa Kimarekani aliyekuwa anatuhumiwa na makosa lukuki ya kufanya ngono na wasichana wadogo walio chini ya umri, kajiua akiwa lupango.

R. Kelly akituhumiwa kwa makosa hayo hayo, baadhi ya watu wanalia ubaguzi.

Ni vyema wakamweka Bw. Robert chini ya suicide watch.

Haya sasa. Epstein mzungu huyo....kaona isiwe tabu. Kaona kesi hawezi kushinda. Kaamua kujiua akiwa jela akisubiri kesi yake.

Mzimu wake bado unasumbua.
 
Itakuwa ilikuwa Ndagu kula vijitoto ili utajiri uendelee. Maana matajiri wana hela wanaweza pata mwanamke yeyote yule,why wale vijitoto?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom