Kuzirudisha wengine hatuwezi na tumeanzisha mahusiano mapya hivyo lazima tuziondoe ili isije kuwa kesi.
Kama bado nampenda No siweki maana zitanisumbua! Ila kama sina feelings nae tena hata nikiziweka hazitanisumbua zitakuwa kama za marafiki wa kawaida tu!
Iwe mmeachana kwa sababu yoyote ile si haki kuwa na picha za x wako,Jifikirie mwenzio ameziona unadhani tafsiri yake ni nini?
Kwa kweli mimi tukimalizana nachoma moto kumbukumbu zote ila namba ya simu ???nitaisave hata jina la kiume for sometime!!
Nimezi scan na kuziweka dropbox
Purpose: Nasubiri mwisho wa mwaka niweze kufanya Analysis, I mea niweze ku calculate input na output ili excess niweze ku submit TRA
In this world nothing is certain than Tax and Death.
mtu mmoja picha moja au kwa mafungu?kama 28 hivi
Sasa nitaweka ngapi jamani, coz album itajaa picha za maex, lols