pattttty
Member
- Aug 12, 2014
- 15
- 16
Ushauri please. Nina mwanamke ambaye kwa sasa ni mjamzito na wanamjua kwetu pia hata mimi kwao najulikana.
Nina miaka nae 6 lakini nina mchepuko wangu wa ukweli nae nina muda nae miaka 4.
Sasa tatizo nashindwa fanya maamuzi ya kuoa wote wanataka kuolewa na mimi.
Na mimi roho yangu kumuacha huyu mchepuko wangu roho inauma. Dah nipo njia panda
Nina miaka nae 6 lakini nina mchepuko wangu wa ukweli nae nina muda nae miaka 4.
Sasa tatizo nashindwa fanya maamuzi ya kuoa wote wanataka kuolewa na mimi.
Na mimi roho yangu kumuacha huyu mchepuko wangu roho inauma. Dah nipo njia panda