Wote mnaotumia Facebook mna moyo wa ajabu sana

Wapendwa wangu mmeamkaje.

Twende hii kwa kipindi kirefu nimekuwa si mtumiaji sana wa hii mitandao ya kijamii sasa niliporudi kwa nguvu zote nikasema nianze na Jf hasa jukwaa langu pendwa hili la MMU.

Aisee wiki hii yote Jamani nikaona bora nipitie pitie Facebook(FB) sasa nimekuwa nikishangaa sana nijaribu kubishana nao kwa hoja naona wananiletea mambo nisizozielewa jamani.

Mna Moyo wa Chuma watu mnaotumia Facebook
Kwa taarifa yako MMU ndio Facebook ya JF,kama hilo ndo jukwaa lako pendwa basi jitafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokutumia Facebook sio kwamba ni ujanja, the way social media algorithm works ni kua inakuletea unachokitaka, ukitaka upumbavu utakutana nao mwingi tuu, na ukitaka maarifa pia utapata ya kutosha... Tatizo si Facebook tatizo ni chaguo lako mwenyewe
 
FB ni pazuri ukipatumia vizuri, unajifunza mambo mengi sana kutegemea na mambo unayoyafuatilia, kwa mfano ukisoma comments kwa Milad Ayo ndo utaona vizuri uhalisia na hisia za mtanzania mkweli anavozungumzia changamoto halisi bila haja ya kuficha jina lake.
Binafsi naona changamoto na kero kubwa ni kusumbuliwa sumbuliwa inbox tu na wanaojielewa na wasiojielewa pia maana penye wengi pana mengi.
 
FB ni pazuri ukipatumia vizuri, unajifunza mambo mengi sana kutegemea na mambo unayoyafuatilia, kwa mfano ukisoma comments kwa Milad Ayo ndo utaona vizuri uhalisia na hisia za mtanzania mkweli anavozungumzia changamoto halisi bila haja ya kuficha jina lake.
Binafsi naona changamoto na kero kubwa ni kusumbuliwa sumbuliwa inbox tu na wanaojielewa na wasiojielewa pia maana penye wengi pana mengi.
Kweli kabisa lakini hizo ni changamoto ndogo sana ukilinganisha na faida ambazo zipo ndani yake fb..... Ndio social network ambayo kama unatangaza biashara unaweza fikia generation zote hasahasa wale ambao wanaweza fanya maamuzi ya kununua. Kuna thousands of groups to reach your target audience kuliko mitandao mingine mpaka uibie kwenye Post za watu na kucomment
 
Siipendi FB from scratch ila nipo kule kwa sababu nina magroup ya FB yanayonilipa ela ya vocha kwa kushare matangazo kwenye Magroup yangu
 
Wapendwa wangu mmeamkaje.

Twende hii kwa kipindi kirefu nimekuwa si mtumiaji sana wa hii mitandao ya kijamii sasa niliporudi kwa nguvu zote nikasema nianze na Jf hasa jukwaa langu pendwa hili la MMU.

Aisee wiki hii yote Jamani nikaona bora nipitie pitie Facebook(FB) sasa nimekuwa nikishangaa sana nijaribu kubishana nao kwa hoja naona wananiletea mambo nisizozielewa jamani.

Mna Moyo wa Chuma watu mnaotumia Facebook
Walikua sahihi kwa mambo kadhaa kwa ubovu wa mada na mtu mwenyewe
 
Kutokutumia Facebook sio kwamba ni ujanja, the way social media algorithm works ni kua inakuletea unachokitaka, ukitaka upumbavu utakutana nao mwingi tuu, na ukitaka maarifa pia utapata ya kutosha... Tatizo si Facebook tatizo ni chaguo lako mwenyewe
Exactly Mim nime-follow media company napata habari na kamwe huwezi kuta habari za udaku au za kijinga kwenye account yangu, na sijawah sumbuliwa inbox sababu mim kule ni kusoma news tu
 
Kwenye mtandao wowote inategemea ww unataka kuona au kudeal na vitu au watu wa aina gani hata kwny jamii forum kuna watu majukwaa sio watu wote wanapenda majukwaa yote kama mm na majukwaa yangu ninayoo yapendelea hvyo Kwny Instagram kuna na follow watu au page ninazo zihitaj hvyo hvyo kwny FB nacomment. Post za kipumbavu
 
Back
Top Bottom