HERUFI KUBWA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 388
- 602
Wapendwa wangu mmeamkaje.
Twende hii kwa kipindi kirefu nimekuwa si mtumiaji sana wa hii mitandao ya kijamii sasa niliporudi kwa nguvu zote nikasema nianze na Jf hasa jukwaa langu pendwa hili la MMU.
Aisee wiki hii yote Jamani nikaona bora nipitie pitie Facebook(FB) sasa nimekuwa nikishangaa sana nijaribu kubishana nao kwa hoja naona wananiletea mambo nisizozielewa jamani.
Mna Moyo wa Chuma watu mnaotumia Facebook
Twende hii kwa kipindi kirefu nimekuwa si mtumiaji sana wa hii mitandao ya kijamii sasa niliporudi kwa nguvu zote nikasema nianze na Jf hasa jukwaa langu pendwa hili la MMU.
Aisee wiki hii yote Jamani nikaona bora nipitie pitie Facebook(FB) sasa nimekuwa nikishangaa sana nijaribu kubishana nao kwa hoja naona wananiletea mambo nisizozielewa jamani.
Mna Moyo wa Chuma watu mnaotumia Facebook