Wote Mnakaribishwa Sana

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,871
155,834
Nawakaribisheni sana kwenye kikao changu cha harusi tarehe 06/08/2011 Hongera Bar jirani na chuo cha Ustawi wa Jamii. Karibuni sana.
 
Nawakaribisheni sana kwenye kikao changu cha harusi tarehe 06/08/2011 Hongera Bar jirani na chuo cha Ustawi wa Jamii. Karibuni sana.

Mbona hutaji nchi, mji wala mkoa kana kwamba wote tupo eneo moja humu?
 
Ebwana vp Shem umempata humu Jf au?hebu tupe maujanja nasi tufanike kupata wa kuoa, mana cku hz wa kuoa adimu mno.
 
kwa hilo mkuu hongera sana kwa kuacha kwenda corner bar sinza they will miss u mkuu..
 
Hongera Buji. Mimi niko kwenye vikao vya upande wa bi harusi mtarajiwa.
 
Back
Top Bottom