Wote humu ni wake wa watu??????

Wote humu ni wake wa watu??????

Haaa nilikuwa sijaona, sina neno tena , ila kuna wanaume wana bahati sana kwenye hii dunia
CC UNDENIABLE
-------ni kweli kabisa, nina bahati sana! najona mwenye bahati sana! niombe kwa Mungu wako!

hahaa ana bahati maana nimeamua kumshushia mbingu hapa hapa duniani

cc UNDENIABLE
-------Ubarikiwe kila siku iendayo kwa Mungu, mapenzi unayonipa sijui kwa nini nimestahili, NACHANGANYIKIWA KILA SIKU! Acha niendelee kumtukuza Maulana kwa yake kheri!!

Acha kabisa, ngoja tuanze fitna sasa, lazima mmwagane
CC: UNDENIABLE

-------mmmmmhhhhhhh, km furaha yako ni kuona mm nakosa mbingu duniani, basi na hii iwe sentensi yako ya mwisho kuiandika JF, nimenogewa sana!
 
Back
Top Bottom