Wosia wa MALCOLM X

Bluray huwa inakera sana mnapojaribu kumkandia Nyerere kwa kumpa maguvu ya Kiungu ambayo hakuwa nayo wakati mnajua kuna mambo mengi tu yalikuwa yanampita - haya dondoo hii inayoonyesha kuwa Nyerere hakujua nini kinaendelea:

"One fine day I appeared in Dar es Salaam. No one recognized me; not even the ambassador, an old comrade-in-arms who had been with us in the initial landing and become a captain in the Rebel Army, was able to identify me...I had to press on incognito and even to refrain from announcing myself to the Tanzanian government and requesting its acquiscence" - Che Guevara in The African Dream: The Diaries of the Revolutionary War in the Congo page 9 -11

"Indeed, so badly informed were the Americans about Guevara's movements that every reference to his Congo expedition until 1990s suggested that he had entered the country through Brazzaville...Since no one knew that Che Guevara formed part of the Cuban contingent, the Congolose in Dar initially paid him no great attention" - Richard Gott's Introduction to The African Dream: The Diaries of the Revolutionary War in the Congo page xxvii
 
Of course katika diary yake hataweza kumu implicate rafiki yake Nyerere, wee vipi?

Kesi ya nyani unampelekea ngedere?

Tafuta neutral na objective, peer reviewed works. Hiyo diary hata mimi ninayo ila sijataka kuitumia kama source kwa sababu mwamba ngoma huvutia kwake.Hiyo biography niliyoitoa ndiyo the most authoritative work on Che.

Ona sasa, nani kakwambia Che alikuwa rafiki wa Nyerere? Hii chuki yenu kwa Nyerere inawafanya mumpakazie vitu kibao! Kwanza Che alimweka Nyerere vis-a-vis the West mahali pabaya sana kwa kuingia nchini kinyemela!

Alafu hiyo Biography unayoiongelea ninayo pia; unasema ni most authoritative kwa mujibu wa nani - hao human and thus subjective peer reviewers?

Alafu na huyo aliyeandika Introduction kwenye collection ya Diary yake yeye sio neutral and objective?
 
Bluray huwa inakera sana mnapojaribu kumkandia Nyerere kwa kumpa maguvu ya Kiungu ambayo hakuwa nayo wakati mnajua kuna mambo mengi tu yalikuwa yanampita - haya dondoo hii inayoonyesha kuwa Nyerere hakujua nini kinaendelea:

"One fine day I appeared in Dar es Salaam. No one recognized me; not even the ambassador, an old comrade-in-arms who had been with us in the initial landing and become a captain in the Rebel Army, was able to identify me...I had to press on incognito and even to refrain from announcing myself to the Tanzanian government and requesting its acquiscence" - Che Guevara in The African Dream: The Diaries of the Revolutionary War in the Congo page 9 -11

"Indeed, so badly informed were the Americans about Guevara's movements that every reference to his Congo expedition until 1990s suggested that he had entered the country through Brazzaville...Since no one knew that Che Guevara formed part of the Cuban contingent, the Congolose in Dar initially paid him no great attention" - Richard Gott's Introduction to The African Dream: The Diaries of the Revolutionary War in the Congo page xxvii

Wewe kutumia diary ya Che kama objective ni sawa sawa na mimi kutumia sources za CIA dhidi ya Nyerere kwenye hii issue, ambazo ninazo lakini sitaki kuzitumia kwa sababu kila mtu atasema American propaganda, sasa na hii ni pure Cuban propaganda, mtu anakuja eti hata balozi wao hajui, walifanya hivi ili neither balozi nor the Nyerere administration wawe na lawama.

Sina access na volumes zangu, nitakushushia hapa.
 
Bluray naona hujasoma posti yangu vizuri. Evidence zinaonesha kuwa hata CIA walidhani Che kaingia kupitia Brazzaville. Miaka ya 90 ndio waligundua kumbe alipitia Dar. Wewe endekeza tu ubishi for the sake of ubishi. Hizo Diaries hazikuchapishwa wakati huo wa miaka ya 1960 hivyo hazikuwa na agenda unayoisema. Kubali ukweli.
 
Kwa sababu hakukubali kutawaliwa
Lakini Mkuu vitabu vya Historia vina sema Ethiopia haikutawaliwa kwasababu ilikuwa na milima mingi na hivyo wakoloni waliona hawezi kuvuna kiasi kikubwa, na Liberia nchi nyingine ya africa iliyopona mijeredi ya mkoloni haikutawaliwa kwasababu watumwa waliokuwa wamerudishwa kutoka utumwani waliwekwa pale, kwa vile tayari walikuwa wameshatumikishwa sana utumwani wakoloni waliona sio busara kuwatawala tena wakiwa huku africa. Embu elezea kidogo mchango wa Menrick
 
ha ha ha ha! kama kunamtu aliyebadirika wewe pia ni mmoja wao. Kuna thread mtu aliuliza kama kuna mtu ameiba password yako na kwa jinsi ulivyopiga u turn( majungu, Udini uriokithiri na Yes! kuwasifia amfisadi). Ni rahisi sana kuangalia ya wenzio kuliko ya kwako


kilichoharibu Jf KUWA sehemu ya Chadema.leo Zitto kutofautiana na Mbowe KILA mtu anamuandama. huko Nyuma alikuwa Hero.

sasa watu wengi wanajua kuwa JF ni mali ya Mbowe na Mengi.ukiandika jambo lililokaa vibaya kwa Mbowe litafutwa.

kingine MODS wengi ni wapenzi na wanachama wa Chadema.

mfano kuna kinara wa mijadala hapa lakini zikija hoja za Chadema haonekani kuchangia kwa jina lake maarufu.anakuwa kimya lakini ikija mijadala ya CCM au serikali basi ni kimbelembele.tizama kwenye mijadala ya Chadema na Zitto hajachangia kwa jina lake maarufu lenye posts zaidi ya elfu 20 lakini naamini anachangia kwa jina lingine na lingine. hayo ndiyo yanapunguza kasi ya JF.
 
[/B][/COLOR][/SIZE]

kilichoharibu Jf KUWA sehemu ya Chadema.leo Zitto kutofautiana na Mbowe KILA mtu anamuandama. huko Nyuma alikuwa Hero.

sasa watu wengi wanajua kuwa JF ni mali ya Mbowe na Mengi.ukiandika jambo lililokaa vibaya kwa Mbowe litafutwa.

kingine MODS wengi ni wapenzi na wanachama wa Chadema.

mfano kuna kinara wa mijadala hapa lakini zikija hoja za Chadema haonekani kuchangia kwa jina lake maarufu.anakuwa kimya lakini ikija mijadala ya CCM au serikali basi ni kimbelembele.tizama kwenye mijadala ya Chadema na Zitto hajachangia kwa jina lake maarufu lenye posts zaidi ya elfu 20 lakini naamini anachangia kwa jina lingine na lingine. hayo ndiyo yanapunguza kasi ya JF.

Mambo ya kutumia muda mwingi madrassa yana madhara makubwa sana kwenye akili za watu. Ona huyu naye. Watu wanaongelea Malcom X, yeye anakuja na hoja za Mengi na Mbowe.
 
Mkumbuke kurudi mwanzo, yaani kwa Malcom X.

Mbona bado tuko kwa Malcolm X. Mawazo yake aliyatoa ili yazae mawazo mengine. Mjadala huu Malcolm angeufurahia maana unagusia masuala aliyokuwa anayafuatalia, kama huamini hebu soma nukuu hii kwenye Kitabu chake cha By Any Means Necessary:

So, when I left Kenya, I went to Zanzibar and Tanganyika; now it's called Tanzania. And I never went anywhere that has pleased me more than that place. It's beautiful - all of Africa is beautiful - but in Tanganyika, it's a very beautiful place. It's hot, it's like Miami...everywhere I went, I found nothing but open minds, I found nothing but open hearts..." (pp 143-144)

So, Sir, let us exercise our open minds that Malcolm X commended.

P.S. By the way, I felt the same in Miami - I know Julius will dispute that!
 
Lakini Mkuu vitabu vya Historia vina sema Ethiopia haikutawaliwa kwasababu ilikuwa na milima mingi na hivyo wakoloni waliona hawezi kuvuna kiasi kikubwa, na Liberia nchi nyingine ya africa iliyopona mijeredi ya mkoloni haikutawaliwa kwasababu watumwa waliokuwa wamerudishwa kutoka utumwani waliwekwa pale, kwa vile tayari walikuwa wameshatumikishwa sana utumwani wakoloni waliona sio busara kuwatawala tena wakiwa huku africa. Embu elezea kidogo mchango wa Menrick

Ndugu nani aliandika hivyo vitabu vya Historia? Meneliki alikataa kutawaliwa kwa kupigana. Na Ethiopia ilikuwa na thamani machoni pa Wataliano ndio maaana waliipigania karne iliyopita. Inabidi tuandike upya historia zetu.
 
Back
Top Bottom