Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kinda weird nilipokuwa nasoma high school mzee anipa Autobiography yake niisome eventually jamaa wakaanza kunipachija jina
I think i was kinda rebellious in my own way...na kuwa na urafiki na RAS T aka KAKA nako hakukusaidia sana kwani alikuwa na jitabu mooja neneee linaitwa FIRST MAN BLACK MAN!
anyway...si vibaya kupata hii:
I miss those days ambazo mtu ulikuwa unaingia JF kila one hour maana kulikuwa na so much intellectually stimulating discussions.
siku hizi ....ohh well you know the drill.
I think i was kinda rebellious in my own way...na kuwa na urafiki na RAS T aka KAKA nako hakukusaidia sana kwani alikuwa na jitabu mooja neneee linaitwa FIRST MAN BLACK MAN!
anyway...si vibaya kupata hii:
I miss those days ambazo mtu ulikuwa unaingia JF kila one hour maana kulikuwa na so much intellectually stimulating discussions.
siku hizi ....ohh well you know the drill.