mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,963
Jamani leo nimerudi tena mzee wa kasumba kuzungumza na dada zangu wapendwa.
jina langu naitwa "Mzee wa kasumba"
Japo nimejaaliwa kasumba kiasi kikubwa, lakini kuna muda huwa nakuwa na busara na kuzungumza mambo yenye maana (japo ni muda mchache)
Twende kwenye point.
Wosia wangu wa leo kwa dada zangu wapendwa ni juu ya hili suala
Kama una mpenzi wako/mume na unampenda sana, ikaja ikatokea siku moja ukamkuta/kusikia kuwa ana mahusiano mengine na mwanamke mwingine basi fanya hivi
- usiwe mkali
(muite halafu muulize kwa upole sana) halafu kama akikubali ama kukataa achana naye ila jitahidi kuzidisha mapenzi kwake kila kukicha na kama ikiwezekana mtafutie zawadi mbali mbali. Hii haina maana kuwa unampongeza kwa kuchepuka (hapana) ila unajijengea wigo zaidi na kumfanya azidi kuelekeza mapenzi kwako. Kwani huenda alifanya vile kwa sababu kuna kitu kilipungua kwako.
- Usilipize kisasi
Usije ukajaribu kuchepuka kwa niaba ya kumkomesha bwana/mume wako eti kwa sababu amechepuka (hapana) hapo utakuwa unajitafutia balaa zaidi. kwani utaachwa mazima na huko ulikochepuka hautapata upendo kama uliokuwa unaupata hapo mwanzoni.
NB.
Huwezi kumzuia mwanaume kuchepuka hata siku moja. ila kama ukitumia busara utamfanya mwanaume wako achepuke kwa heshima na kuendelea kukutunzia heshima yako zaidi ya hiyo michepuko yake.
MWISHO
Mnaweza kuona kama ni maneno yasio na maana lakini ukweli ndio uko hivyo ndugu zangu (dada zangu) nawapenda bure ndio maana nikawapa ushauri huu.
Mungu awabariki sana
Cc; Zero Iq
jina langu naitwa "Mzee wa kasumba"
Japo nimejaaliwa kasumba kiasi kikubwa, lakini kuna muda huwa nakuwa na busara na kuzungumza mambo yenye maana (japo ni muda mchache)
Twende kwenye point.
Wosia wangu wa leo kwa dada zangu wapendwa ni juu ya hili suala
Kama una mpenzi wako/mume na unampenda sana, ikaja ikatokea siku moja ukamkuta/kusikia kuwa ana mahusiano mengine na mwanamke mwingine basi fanya hivi
- usiwe mkali
(muite halafu muulize kwa upole sana) halafu kama akikubali ama kukataa achana naye ila jitahidi kuzidisha mapenzi kwake kila kukicha na kama ikiwezekana mtafutie zawadi mbali mbali. Hii haina maana kuwa unampongeza kwa kuchepuka (hapana) ila unajijengea wigo zaidi na kumfanya azidi kuelekeza mapenzi kwako. Kwani huenda alifanya vile kwa sababu kuna kitu kilipungua kwako.
- Usilipize kisasi
Usije ukajaribu kuchepuka kwa niaba ya kumkomesha bwana/mume wako eti kwa sababu amechepuka (hapana) hapo utakuwa unajitafutia balaa zaidi. kwani utaachwa mazima na huko ulikochepuka hautapata upendo kama uliokuwa unaupata hapo mwanzoni.
NB.
Huwezi kumzuia mwanaume kuchepuka hata siku moja. ila kama ukitumia busara utamfanya mwanaume wako achepuke kwa heshima na kuendelea kukutunzia heshima yako zaidi ya hiyo michepuko yake.
MWISHO
Mnaweza kuona kama ni maneno yasio na maana lakini ukweli ndio uko hivyo ndugu zangu (dada zangu) nawapenda bure ndio maana nikawapa ushauri huu.
Mungu awabariki sana
Cc; Zero Iq
