Tutor B JF-Expert Member Jun 11, 2011 9,025 6,554 Jan 16, 2019 #21 Neybright said: Sio kila ushauri ni wa kufanyia kazi Click to expand... Ok; nimekusoma
Atoto JF-Expert Member Jul 19, 2013 82,039 158,712 Jan 17, 2019 #23 Msijali, tutalifanyia kazi. Nanyi muwe na busara pindi mnapogundua tumefanya hivyo, ila tutajitahidi msijue, ila mkijua muwe wapole jamani. Tinawapenda pia.
Msijali, tutalifanyia kazi. Nanyi muwe na busara pindi mnapogundua tumefanya hivyo, ila tutajitahidi msijue, ila mkijua muwe wapole jamani. Tinawapenda pia.
Atoto JF-Expert Member Jul 19, 2013 82,039 158,712 Jan 17, 2019 #24 Hornet said: Awe na hela basi Hata ukipata stress pesa inazipunguza Click to expand... Sio kajamba nani alagu eti nae anataka tuwe wapole. Kitawaka tu.
Hornet said: Awe na hela basi Hata ukipata stress pesa inazipunguza Click to expand... Sio kajamba nani alagu eti nae anataka tuwe wapole. Kitawaka tu.
linguistics JF-Expert Member Jun 22, 2014 4,688 4,318 Jan 17, 2019 #25 msichokijua ni kwamba wanawake wanachepuka zaidi kuliko wanaume. Ukweli mchungu.
Khantwe JF-Expert Member Dec 20, 2012 59,407 119,086 Jan 17, 2019 #26 Ni kweli maneno yako hayana maana Sent using Jamii Forums mobile app