lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,116
- Thread starter
- #41
Pale unapotumia "gari la swahiba wako" ukijifanya ni lako ili umpate kimwana matawi, bila kujua swahiba wako ni binamu wa hicho kimwana na huyo swahiba mwenyewe kaazima hilo gari kwa kakaake kimwana...
Hapa tunazungumzia nini? Hebu niitieni Kaizer mie......
Hahahaaaaaaaaa! Babuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!