snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
mi si nawajua mikato yenu nyie wazee si unajua wengine uzee tuliupenda zamani!matokeoa yake ndo hayo!ahaahhahahha eti chatu atokee atumeze wote!Huyo lazima tumkamate sasa hivi....ngoja niite vijana wakamate mwizi meeen!!
Duuuh.......nimekumbuka story moja iliyonitokea enzi zile za 1947...
Mie nimetoka zangu shule, nikaanza kutangaza ubabe wa form 2...pale kijijini, kulikuwa na kabinti kazuri sana,
Njioni moja kwenye kagiza giza nikakutana nako na kuanza kukasindikiza....yaani ile hatujafika mbali, na kwenye ki njia chambamba, tukakutana na baba yake, tena ameshika panga....!!!
Yaani nilitamani atokee chatu atumeze twende wote....Baada ya hapo kalifungiwa ndani hadi likizo yangu ikaisha. Niliporudi likizo nyingine nikakuta kameolewa na mhuni mmoja, unfortunately, wote walisharudisha hesabu kwa Bwana (RIP)!!
Babu DC!!
kudadaaaadeki ungemezwa wewe tu!