World's cleverest man turns down $1million prize after solving one of mathematics' gr

Status
Not open for further replies.
Needling: simply attempting to make the other person angry, without trying to address the argument at hand. Sometimes this is a delaying tactic.

Delaying what? Wewe ndiye yule yule unayebwatuka "hamna mpya hapa" halafu hujui tofauti ya news na fillers. Shame shame shame, what happenned to your stress on originality? What is so original about that article?

Hivi kuna argument hapa? Nishawa murder machete wewe bado unaota argument? Argument gani?
 
Delaying what? Wewe ndiye yule yule unayebwatuka "hamna mpya hapa" halafu hujui tofauti ya news na fillers. Shame shame shame, what happenned to your stress on originality? What is so original about that article?

Hivi kuna argument hapa? Nishawa murder machete wewe bado unaota argument? Argument gani?

Muwekee msela abstract aliyoomba mboni kiswahili kingi na kuruka kimanga..Hizo murder machete zipi? Mboni sizioni au tunasoma thread tofauti muzee wa theory of everisingi? lol
 
Kameenda ku-google kingereza chake cha dictionary.he he he...kajamaa ka-nerd flani hivi ila ni ka M.E.G.A L.O.S.E.R. lol

Kama hiyo ni kweli basi wewe unayekuwa obsessed na mega loser ni peta loser. I mean wewe ni loser mara kibao zaidi, kwa sababu una muda mchafu wa kujibizana na loser mimi.

Who is the biggest loser now?
 
Kama hiyo ni kweli basi wewe unayekuwa obsessed na mega loser ni peta loser. I mean wewe ni loser mara kibao zaidi, kwa sababu una muda mchafu wa kujibizana na loser mimi.

Who is the biggest loser now?

Niko obsessed na looser kaa wewe.. ili iweje? Don't flatter yourself..We ni kimavi tu huna mpango wowote na najibu ushuzi wako kwa sababu nipo likizo..naenjoy unavotaabika na wikipedia na google zako..

Vipi msela aendelee kusubiria abstract au ndo vile bado unaendelea na delay tactic.

Bwa ha ha..
 
Niko obsessed na looser kaa wewe.. ili iweje? Don't flatter yourself..We ni kimavi tu huna mpango wowote na najibu ushuzi wako kwa sababu nipo likizo..naenjoy unavotaabika na wikipedia na google zako..

Vipi msela aendelee kusubiria abstract au ndo vile bado unaendelea na delay tactic.

Bwa ha ha..

You are even a bigger loser than I thought, yaani unatumia likizo yako kukimbizana na ma "loser" hapa JF. Is that the best you can do? Una ji expose ulivyo mtupu tu.

Eti likizo, some likizo unayo, kujibizana na losers kwenye online forums.

Kombe la mitusi chukua, lakini facts huna, hujui tofauti ya old article na old news.
 
You are even a bigger loser than I thought, yaani unatumia likizo yako kukimbizana na ma "loser" hapa JF. Is that the best you can do? Una ji expose ulivyo mtupu tu.

Eti likizo, some likizo unayo, kujibizana na losers kwenye online forums.

Kombe la mitusi chukua, lakini facts huna, hujui tofauti ya old article na old news.

Of course nafurahia kuwachemsha watu wanaojifanya kujua kama wewe, ili wajifunze the hard way kwamba si lolote wala chochote kama wanavojidhania. Thats a good course..

Secondly, sijaongelea habari za article popote, na nilishaonesha kipi kinastahili kuitwa nyuzi kwenye post # 53. Kwamba hii habari : ANY of the following makes this to qualify as 'NEWS'

1. imetokea recently, yaani kukataa zawadi ya 2010, kutangazwa anayestahili , importance etc
2. inaweza kuwa nyuzi kwa baadhi ya watu ambao hawakupata fursa ya kujua tangu mwanzo
3. kutangazwa kwenye vyombo vya habari
4. etc

..and yes, ni kweli kaa ulivosema kwamba sina facts, ila ungemalizia vyema kwamba sina facts kama zako za theory of everything..lol
 
Of course nafurahia kuwachemsha watu wanaojifanya kujua kama wewe, ili wajifunze the hard way kwamba si lolote wala chochote kama wanavojidhania. Thats a good course..

Secondly, sijaongelea habari za article popote, na nilishaonesha kipi kinastahili kuitwa nyuzi kwenye post # 53. Kwamba hii habari : ANY of the following makes this to qualify as 'NEWS'

1. imetokea recently, yaani kukataa zawadi ya 2010, kutangazwa anayestahili , importance etc
2. inaweza kuwa nyuzi kwa baadhi ya watu ambao hawakupata fursa ya kujua tangu mwanzo
3. kutangazwa kwenye vyombo vya habari
4. etc

..and yes, ni kweli kaa ulivosema kwamba sina facts, ila ungemalizia vyema kwamba sina facts kama zako za theory of everything..lol

There you go again with your cornucopia of pathetic imbecility.

Huwezi kumchemsha mtu yeyote anayefikiri kwani kibongo chako cha ndege hakiwezi kuweka ushabiki pembeni na ku reason for a minute. Kuhusu hii fabrication ya kwamba mimi najiona najua kila kitu, I can only say this is borne out of your inferiority complex, and really your desire to play god up in here.

Guess what, the facts will put you in your place.

Hujaongea habari za article popote? Unakana hapa? Hujasema hapo juu kwamba nimerukia ku comment bila kusoma article nikifikiri hii article ni ya zamani? Hujui tofauti ya news na article, and that is a tragedy.

Let's go through your list of definitions and critique them one by one in light of the real criteria of news, that of something being new.

1. imetokea recently, yaani kukataa zawadi ya 2010, kutangazwa anayestahili , importance etc

Kitu kutokea recently hakumaanishi ni news. Tunaona mawio na machweo ya jua kila siku, that does not make mawio na machweo ya jua in itself to be news, ingawa jua limeonekana leo asubuhi (recent) lakini hii si news kwa sababu tunajua kwamba jua litatokea. Now jua lisingetokea asubuhi hii ingekuwa news, kwa sababu hatukutegemea jua lisitokee.Kwa hiyo hii definition ya news ni colloquial.And I detest colloquism.

2. inaweza kuwa nyuzi kwa baadhi ya watu ambao hawakupata fursa ya kujua tangu mwanzo

Right, na hili nimelisema hapo juu, kwamba hii article inaweza kuwa useful in rehashing this saga, or informing people who did not know.

Kwa hiyo kama ulivyosema hapo juu, inaweza kuwa news kwa baadhi ya watu, lakini si news per se, kwa sababu ili ku qualify kama news inabidi iwe na kitu kipya, na kama wengine hatuoni kitu kipya, kwetu itakuwa si news, hivyo ita fail the general criteria ya news.


3. kutangazwa kwenye vyombo vya habari

Hapa ndiyo unajionyesha ulivyo mtupu, kwa hiyo kila kitu kinachotangazwa kwenye vyombo vya habari ni news?

No wonder hatuelewani. Yaani unakuja hapa na kutaka kuwa convince members wa JF kwamba kila kitu kinachotangazwa kwenye vyombo vya habari ni news? Authoritarian dictators na the corporatocracy wanawapenda sana watu kama nyie, kwa sababu wanaweza kuwa feed utumbo wowote wakautangaza kwenye vyombo vyao vya habari, na nyie mkakubali kwamba ni "news"

4. etc

Acha uvivu wa kufikiri, acha inferiority complex, acha ku play demi-god, acha kuji expose like a person undressed in the middle of a town square.

Above all acha kutumia muda wako wa likizo hapa JF, jeez, how pathetic can you get, don't you have something better to do?

Does your empty life revolve around JF and JF only?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom