dumbi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2018
- 989
- 1,523
Wakuu mwenye uelewa na hiyo kitu hapo juu anifafanulie kuna rafiki kanidokeza kwamba inalipa unaweka pesa inageuzwa kuwa dola halafu wewe unalipwa kila siku kutokana na kiasi ulichoweka ukiweka hela nyingi na hiyo faida inakuwa kubwa ukiweka ndogo nayo hivyohivyo inakuwa ndogo msaada kwa anaefaham hiyo campuni. maana kuna yale mambo ukimuunganisha mtu na wewe kuna percent unaingiziwa