Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 373,218
- 864,668
Hahaha itaganda kama mtindiTutaikamulia machungwa tuibadili iwe tamu[emoji5]
Hahaha itaganda kama mtindiTutaikamulia machungwa tuibadili iwe tamu[emoji5]
Haa haa si tunaweka na chumvi na maji moto kama tunaandaa kisusio?Hahaha itaganda kama mtindi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Haa haa si tunaweka na chumvi na maji moto kama tunaandaa kisusio?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji102] wametutesaga sana zamani kulipa fadhila itabidi hivyo maana hamna nama.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Marekani naye anabakwa kila kukicha pale pale Afghanistan ...hadi leo hii!....so whats your point??????
Aisee kweli mimi hata nyama naweza kula[emoji3] [emoji23] [emoji106][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji102] wametutesaga sana zamani kulipa fadhila itabidi hivyo maana hamna nama.
Ndafu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji39] [emoji85]
[emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji115] we mbaya kwelkwel jamaa anaamza kukata nini[emoji38] afu anamchungulia usoni.NdafuView attachment 370674ya musungu
US ni wanyama sana, juzi wameingiza tani 52 za silaha kambi za wakimbizi wakiarabu waliokimbilia Ugiriki, sijui wanataka nini hawa kuangamiza watu.Safiii sana putin.... Unafiki haufai na bado trump akiingia itakua safi sana... Mambo ya kuongoza kinafiki yataisha
Soseji kwanza halafu anamcheki kama atashtuka[emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji115] we mbaya kwelkwel jamaa anaamza kukata nini[emoji38] afu anamchungulia usoni.
Putin atabakwa hadharani
russia hajawahi kushindwa vita
Pole, ulisoma sayansi ndio maana fasihi inakupiga chenga.Ni kauli inayotolewa na baadhi ya vijana wa siku hizi ukiwemo wewe, ambao hawana uoga wa kauli wanazotoa na hawajui athari za kauli zao na wanaodhani kuwa wote waliomo kwenye JF ni kama wao kwa tabia, mawazo na fikra na hata umri...Watu wa namna hii ni hatari siyo tu kwa nchi yetu bali kwa ustawi wa dunia nzima...kutamka na kuandika kuwa PUTIN ata.....hadharani ni kauli ya ajabu, ni rahisi kuhisi kuwa mtu anayetoa kauli kama hii ni mtu wa aina gani...
Duh...mkuu naomba nipe link ya hii habari tafadhali.US ni wanyama sana, juzi wameingiza tani 52 za silaha kambi za wakimbizi wakiarabu waliokimbilia Ugiriki, sijui wanataka nini hawa kuangamiza watu.