Ok mkuu. Kumbe labda tunatofautiana ki uelewa. Mimi sioni kama kuna tatizo after war nchi ikiwa iko upande mwingine. Of cause russia haikuzikomboa kutoka kwa marekani. Ilizisaidia kutoka mikononi mwa hitler. Pia naona kama siyo looser kwa sababu wameadvance sana kijeshi na kiuchumi. Uchumi wao uko stable pamoja na kelele za kila siku za marekani na EU, lakini wako vizuri. Hawamdhurumu mtu kama NATO na baba yao america anavyowadhurumu waarabu, libya etc. Hawaingilii utawala wowote mpaka labda waombe. pia EU wote hawawezi kabisa kuingia naye kwenye vita. Sasa u looser wake huko wapi?