World University Rankings 2014-2015

Watajua wenyewe. Ninachojali ni kupata ka degree kangu na kupata kazi mkono uende kinywani
una akili sana kijana! Kwa hilo tu elimu ya kibongo ipo vizuri sana, kitakupa gamba utatafuta cha kulifanyia
 
Ni vizuri uwe unatutajia viongozi ambao ni mifano ya kuigwa ktk demokrasia na sio kila unayemtaja ametokea msituni. Hiyo inaonesha ndio chanzo cha matatizo hata TZ maana kinaandaa viongozi wabinafsi mno mpaka hata katiba hawapo tayari kuona inakuwa ya wananchi.
 

Wengine MAARUFU waliosoma UDSM ni ni Joseph sinde Warioba,Profesa Palamagamba kabudi,Seif SHARIF Hammad,Professor Lipumba na James Mbatia
 
Nadhani itakuwa vizuri pia vyuo vikawa grouped. .. sio tu ranked. Yani labda kuwe na one star universities to five stars universities. Na vigezo vya kuwepo kwenye level fulani viwe clear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…