Chuo ambacho kimetoa viongozi wengi maraisi,wakubwa wa serikali mbali mbali america ni Yale Univercity Kwa Africa ni UDSM ikifuatiwa na Makerere.UDSM inajulikana kama YALE of Africa kwa kuzalisha viongozi wengi wakubwa kuliko chuo chochote africa kama hujui.Hadi akina JOHN GARANG,MUSEVENI n.k wamepita hapo.Wengi walikuwa groomed hapo kuwa viongozi au walipokuwa walimu hapo wakafundwa wakatoka hapo viongozi.Usilolijua litakusumbua UDSM is a YALE OF AFRICA