Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Hakuna Jenerali katika Historia anayemfikia Khalid bin Walid.
Ukisikia Conquests zote walizofanya Waislamu hadi kuikamata Jerusalem kutoka kwa Byzantine empire na kisha kuitawala kwa karne nyingi, Khalid bin walid alikuwa kamanda
alipigana vita zaidi ya 100 hajawahi kupoteza pambano
Ukisikia Conquests zote walizofanya Waislamu hadi kuikamata Jerusalem kutoka kwa Byzantine empire na kisha kuitawala kwa karne nyingi, Khalid bin walid alikuwa kamanda
alipigana vita zaidi ya 100 hajawahi kupoteza pambano