World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Me nakataa Mkuu, kwa sababu wamewafunga Korea kwa goal 4?
Uliangalia game ya usiku ya Nigeria Vs Bosnia? Ghana Vs Germany je?

Ya Nigeria ya jana nimetazama kidogo tu.Ghana nimewaona mechi zote,Nigeria nilitazama ile ya kwanza,Ghana na Nigeria wana plans nzuri,lakini siridhishwi na execution,hasa Mobility na accuracy kwenye pasi za mwisho na ufungaji.Algeria naona wako vizuri eneo hilo,na hii ni style ya uchezaji ya timu nyingi za north africa,na hii inawafanya wawe wa kipekee Africa,maana tatizo la pasi za mwisho na ufungaji ni kubwa mno Africa.ukitazama na profile za wachezaji wa Algeria in reference to other african teams in this competition,nadhani hawa Algeria wana kitu cha kipekee.hata hivyo tukirudi maeneo mengine tofauti na attacking,nao wana mapungufu yao in comparison to Ghana,Ivory Coast,etc!Nigeria wanamiliki mpira vizuuri sana,tena nimewaona tangu kombe la mabara wako vizuri eneo hilo,tatizo lao ni mipira ya mwisho na umaliziaji.matokeo yake timu za aina ya Nigeria zikikutana na wapinzani wanaotoa nafasi chache kushambuliwa,itakuwa shida.note;nazungumzia zaidi ushambuliaji,hasa plan and execution.usisahau nafasi ya Algeria kwenye ranking ya Africa,nadhani hawapo pale kwa bahati mbaya.
 
Game yao na Iran watu waliichukulia poa mpaka walivyoona jana maamuzi ya refa yakiwasaidia Argentina kupata points 3 or else ilikua droo au walale, kwa hiyo Nigeria wamecheza match mbili na team nzuri na wamejikusanyia points 4

Argentina kama refa angekuwa fair angelala jana kwa Iran na wasi wasi wangu ni huu kuwa Iran anaweza mfunga Bosnia bao nyingi akapita round ya pili kwa uwingi wa mabao maana Argentina watapata kuwaonyesha watu kuwa wao ni best kwa kuifunga Nigeria!

Iran is the best team kwenye kundi lao na hilo halina ubishi!!
 
Ya Nigeria ya jana nimetazama kidogo tu.Ghana nimewaona mechi zote,Nigeria nilitazama ile ya kwanza,Ghana na Nigeria wana plans nzuri,lakini siridhishwi na execution,hasa Mobility na accuracy kwenye pasi za mwisho na ufungaji.Algeria naona wako vizuri eneo hilo,na hii ni style ya uchezaji ya timu nyingi za north africa,na hii inawafanya wawe wa kipekee Africa,maana tatizo la pasi za mwisho na ufungaji ni kubwa mno Africa.ukitazama na profile za wachezaji wa Algeria in reference to other african teams in this competition,nadhani hawa Algeria wana kitu cha kipekee.hata hivyo tukirudi maeneo mengine tofauti na attacking,nao wana mapungufu yao in comparison to Ghana,Ivory Coast,etc!Nigeria wanamiliki mpira vizuuri sana,tena nimewaona tangu kombe la mabara wako vizuri eneo hilo,tatizo lao ni mipira ya mwisho na umaliziaji.matokeo yake timu za aina ya Nigeria zikikutana na wapinzani wanaotoa nafasi chache kushambuliwa,itakuwa shida.note;nazungumzia zaidi ushambuliaji,hasa plan and execution.usisahau nafasi ya Algeria kwenye ranking ya Africa,nadhani hawapo pale kwa bahati mbaya.

Je Algeria wamekutana na team zilizokua na organization nzuri ya kujilinda? Imekutana na beki kama za Germany? Au Iran ambayo hata Argentina wenye utajiri wa world class strikers ilishindwa kuipasua ngome mpaka muujiza wa Messi?
 
Argentina kama refa angekuwa fair angelala jana kwa Iran na wasi wasi wangu ni huu kuwa Iran anaweza mfunga Bosnia bao nyingi akapita round ya pili kwa uwingi wa mabao maana Argentina watapata kuwaonyesha watu kuwa wao ni best kwa kuifunga Nigeria!

Iran is the best team kwenye kundi lao na hilo halina ubishi!!

Mkuu Bosnia sio wabovu kiivyo tena hiyo game ya mwisho watacheza bila presha maana washatolewa, watapenda kuondoka japo na one win in their first ever WC
Jana wamecheza vizuri sana hasa dakika za mwisho, ulikua ni uhodari wa kipa Enyama na makosa ya refa kukataa goli ya Dzeko ndio uliwapa Nigeria points 3
 
Je Algeria wamekutana na team zilizokua na organization nzuri ya kujilinda? Imekutana na beki kama za Germany? Au Iran ambayo hata Argentina wenye utajiri wa world class strikers ilishindwa kuipasua ngome mpaka muujiza wa Messi?

Mkuu!
Belgium siyo team mbaya kwenye attack hata kidogo!Matter of fact hata Germany au Argentina HACHOMOKI kwa Belgium tena kiurahisi kabisa!Algeria ni team nzuri sana mkuu!Hawa Russia siku na South Korea dakika ya 90 walishangilia sare,au umesahau kaka?
 
Mkuu Bosnia sio wabovu kiivyo tena hiyo game ya mwisho watacheza bila presha maana washatolewa, watapenda kuondoka japo na one win in their first ever WC
Jana wamecheza vizuri sana hasa dakika za mwisho, ulikua ni uhodari wa kipa Enyama na makosa ya refa kukataa goli ya Dzeko ndio uliwapa Nigeria points 3

Bosnia HAWEZI msumbua Iran hata kidogo!Mkuu au huja iona Iran kwa mechi hizi 2?Wanatisha kila sehemu hawa watu na wapo very organized toka kipa wao hadi mbele mpira akiukuta Dejegha na Reza
 
Mkuu!
Belgium siyo team mbaya kwenye attack hata kidogo!Matter of fact hata Germany au Argentina HACHOMOKI kwa Belgium tena kiurahisi kabisa!Algeria ni team nzuri sana mkuu!Hawa Russia siku na South Korea dakika ya 90 walishangilia sare,au umesahau kaka?

Na mimi nimeongelea kwenye defense SIO attacking, Belgium wanacheza open play kama Korea lakini bado walimpiga Algeria.
Hizo fact zako tuzipe muda Mkuu, time will tell!
 
Kuna kitu mnakipuuzia hapo ambacho ni kiwango cha mpinzani wako, labla uniletee namba hapa kwamba Ghana walitengeneza nafasi ngapi na ngapi zikazaa magoli la sivyo mimi nitaendelea kupima makali ya forward line yako Vs ukuta gani inaupasua.

Kwa mfano tu; unawezaje kulinganisha organization ya beki ya Ujerumani na ya Korea? unaambiwa kwa kikosi cha ujerumani zaidi ya 80% wanacheza kwenye Champions League, Korea je? Algeria wangeweza kufunga goal nne kwa Mertasacker, Hummels, Boateng, Lahm na Manuel Nuerer?

mkuu sina maana kwamba algeria wana forward ambazo zinajua kupasua ukuta, la hasha. Ninaongelea uwezo wa kutumia nafasi unazozipata. ghana wana uwezo zaidi kupasua ukuta wa wapinzani, lakini finishing yao sio nzuri, hawatumii nafasi vizuri wanapoteza, kila mtu anataka afunge yeye hata kama mwenzake yupo kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga.

Mkuu kupasua ukuta na finishing ni vitu viwili tofauti.
 
Bosnia HAWEZI msumbua Iran hata kidogo!Mkuu au huja iona Iran kwa mechi hizi 2?Wanatisha kila sehemu hawa watu na wapo very organized toka kipa wao hadi mbele mpira akiukuta Dejegha na Reza

Time will tell Mkuu
 
Back
Top Bottom