World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Sasa German wote wanarudi nyuma kuweka ukuta, ndo imetoka na kwa foward line ya Ghana hakuna kitu labda wapewe penati.
 
haya sasa...lack of ambitions ndio matokeo yake hayo.....sasa ona watakavyokurupuka kutafuta goli wataongezwa lingine....MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO............
 
Timu inayocheza kama Ghana huwa inafungwa...tumeona Arsenal miaka yote! Duuuuuu
 
oh africa waka waka eeeh

Tsamina mina
Zangalewa
Cuz this is Africa

Tsamina mina eh eh
Waka Waka eh eh

Tsamina mina zangalewa
Anawa aa
This time for Africa

 
Oh! My GOD! :angry:
 
Ghana hawa watoto akina Kwadwo,Annan,na Ayew wanazingua tu..........bora kocha angewaanzisha wazoefu badala ya kuwajaribu hawa..........Wastegemeee kupata penati leo...

Tuombe matokeo ya Australia na Serbia yawe tunavyotaka
 
..........OMG!!! Ghana kulikoni tena mnawaachia hawa kufunga.
 
saa hizi kocha ndio anaomba msaada kutoka kwa muntari alafu huyu jamaa anaotoka huwa yupo yupo tu uwanjani.
 
yaani ndio kwanza nimemaliza kula maanake nilisema hawa jamaa wanaweza KUNITOA APPETITE.........
 
haya sasa...lack of ambitions ndio matokeo yake hayo.....sasa ona watakavyokurupuka kutafuta goli wataongezwa lingine....MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO............

Mi nalia na Kocha wao tu........Hapangi timu kwa malengo aisee
 
Ghana hawa watoto akina Kwadwo,Annan,na Ayew wanazingua tu..........bora kocha angewaanzisha wazoefu badala ya kuwajaribu hawa..........Wastegemeee kupata penati leo...

Tuombe matokeo ya Australia na Serbia yawe tunavyotaka

mkuu umeongea kweli tupu!
 
Bada wanapita jamani mbona mnapanika mapema!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…