haya sasa...lack of ambitions ndio matokeo yake hayo.....sasa ona watakavyokurupuka kutafuta goli wataongezwa lingine....MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO............
Ghana hawa watoto akina Kwadwo,Annan,na Ayew wanazingua tu..........bora kocha angewaanzisha wazoefu badala ya kuwajaribu hawa..........Wastegemeee kupata penati leo...
Tuombe matokeo ya Australia na Serbia yawe tunavyotaka
haya sasa...lack of ambitions ndio matokeo yake hayo.....sasa ona watakavyokurupuka kutafuta goli wataongezwa lingine....MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO............
Ghana hawa watoto akina Kwadwo,Annan,na Ayew wanazingua tu..........bora kocha angewaanzisha wazoefu badala ya kuwajaribu hawa..........Wastegemeee kupata penati leo...
Tuombe matokeo ya Australia na Serbia yawe tunavyotaka