World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

uuuum....oh Africa....waka waka eeh eeeh...oh Africa....
 
Naomba kuchokoza tu, hivi tunavyoishabikia Marekani, inakuwaje kuwaje? Siichukii nchi hiyo ila siwezi kuishangilia, never. Am out....
 
bao la OBAMA limefungwa dakika ya ngapi?
90'L. Donovan
goal.gif
 
timu zilizo tegemewa kupita zimepita in a hard way which is good for the game.


macho yote kwa GHANA sasa au wakuu wengine bado hawataki headache ya mwisho.
 
Super Chelsea has helped England for the second round. Terry, Lamps and Ashley were superb in this final game in group stages.
 
Rooney naona kapata panga la Capello leo. maana anajiona yeye ni untouchable kama Terry. Terry amecheza tu kwa sababu ya uhaba wa madefender. Capello si mchezo babake.
 
Naomba kuchokoza tu, hivi tunavyoishabikia Marekani, inakuwaje kuwaje? Siichukii nchi hiyo ila siwezi kuishangilia, never. Am out....
tunaishangilia kimpira mkuu.michezo hipo kukutanisha watu na watu nwengi walichopenda hapa ni kwamba wako more serious ku-challenge huko mbele kulikoni timu za ajabu ambazo hazioneshi upinzani.

anyway una haki ya kutoshangilia kwa vile una sababu zako za msingi ,na wengine nao wana haki ya kuishangilia kwa sababu zao lol.enjoy the game lol.
 
Ka-Defoe ni kajanja sana. Sometimes huwaga kana ile killer instinct na ku-sense vitu ambavyo watu kama Heskey hawana.

Nikimwangalia Heskey huwa namfananisha na Gaudence Mwaikimba wakati akiwa Yanga! Hana akili ya kuscore ...lol
 
Super Chelsea has helped England for the second round. Terry, Lamps and Ashley were superb in this final game in group stages.
ha ha ha ulikimbia mechi za kwanza walivyo kuwa wanafanya madudu sasa hivi unajitongeza kuleta u-chelsea jamaa wewe noma.haya enjoy ushindi wenu.
 
Yaani bado hujaunyaka tu, kwi kwi kwi!.

Waliniambia nisubiri mara sijui mpaka baada ya kura...kisha Obama akachukua...mara sasa sijui mpaka baada ya World cup...kwa hivyo tunasubiri tu mkuu...:bounce::bounce::bounce:
 
Naomba kuchokoza tu, hivi tunavyoishabikia Marekani, inakuwaje kuwaje? Siichukii nchi hiyo ila siwezi kuishangilia, never. Am out....
Wewe unatumia uhuru wako kwa kutoishangilia US team, waache wanaoishangilia nao watumie uhuru wao kufanya hivyo!.
 
ha ha ha ulikimbia mechi za kwanza walivyo kuwa wanafanya madudu sasa hivi unajitongeza kuleta u-chelsea jamaa wewe noma.haya enjoy ushindi wenu.

Leo nilikuwa namwangalia James Milner akicheza na Super Lamps.....Abrohamovic nadhani ameliona hilo....Milner to Chelsea?
 
bao la OBAMA limefungwa dakika ya ngapi?


Mkuu upo???...dakika za nyongeza banaee..hawa watu kwa kweli hawakati tamaa. We have to give that to them.

Algeria, sijui niwaite waafrika wenzetu, walikua wanacheza kana kwamba wanatafuta draw...mara wali ukaingi sisimizi!!!

Kamata vuvuzela zako basi.... :horn::horn::horn::horn::horn::horn:
 
Back
Top Bottom