World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

barca sasa hivi ina mpango wa kukuza vipaji vya waspain,ndio mana inawataka fabregas na villa,sasa akija villa halafu kuna bojan krkic itakuwa balaa,mana wamechoka kuwapa majina wageni kuanzia johan cruyff,maradona,hristo stochkov,romario,ronaldo de lima,figo,rivaldo,kluivert,gaucho na messi,sasa utaona hata messi ataguswa kidogo injury/majeruhi miezi 3 au 6 kiwango kitashuka nae ataondoka halafu kina villa na krkic wanachukua namba,mana sasa ndio wapishi wote watakuwepo iniesta,fabregas,busquest,rodriguez na xavi,waspain sasa wanaitumia barca kukuza na kuleta majina ya waspain,spain ya sasa tofauti na nyuma ambayo timu mfano barca ilikuwa wageni wengi hususan waholanzi enzi za kocha luis van gaal wa bayaern munich,real madrid ndio mpaka leo bado wageni,ila barca hata kocha wanachukua aliechezea na mzawa eg pep guardiola.
 

World-Cup-Matches-Mexico-Uruguay-Preview-800_2468813.jpg



Wakuu mechi za mwisho za makundi zinaanza rasmi na ni muhimu sana kwani zitatoa nchi mbili zinazo songa mbele.nimeona bora tumeweke mechi mbili kwa pamoja kwa vile zinachezwa mda sawa na watu wote tuwetufaidika na matokeo ya mechi zote bila kuhamia thread nyingine. lets enjoy.
 
naona ufaransa kasheshe bado linaendelea kocha kafanya madiriko baada wachezaji kuongea mbovu.

Referee - Julian Oscar Ruiz Acosta (Colombia)
Teams - South Africa: Josephs, Ngcongca, Mokoena, Khumalo, Masilela, Pienaar, Sibaya, Khuboni, Tshabalala, Mphela, Parker.



Teams - Skipper Patrice Evra has been dropped after the disarray within the France squad. France: Lloris, Sagna, Gallas, Squillaci, Clichy, Diarra, Diaby, Gignac, Gourcuff, Ribery, Cisse.
 
Dawa ya utovu wa nidhamu ni kuweka benchi tu...Leo kocha wa france kafanya mapinduzi makubwa ..Ili timu ishinde kunatakiwa nidhamu..
Ngoja tuone hapa Kipute kimeanza
 
_48143137_safan466getty.jpg


_48143216_france466getty.jpg


Baada ya kutolewa hawa wote itabidi wakawe marafiki wa kweli kwenye bar za mitaani J'burg
 
Kama tatu bila hazijawatosha SA wapite tu kimiujiza..watakutana na dozi kama waliyopewa North Korea
 
hahaha! wewe ndiye wakupanga matokeo? heeh!
Watapanga makocha tu mana kuamchia Mwenyeji kusonga atasumbua mbele ya safari bora msiba uishe mapema tu watu wabaki nakile walichokitegemea kuwa hakuna timu ya africa itakayo songa kwa round ya pili
 
Watapanga makocha tu mana kuamchia Mwenyeji kusonga atasumbua mbele ya safari bora msiba uishe mapema tu watu wabaki nakile walichokitegemea kuwa hakuna timu ya africa itakayo songa kwa round ya pili

Tusubiri dk 90+
 
mpaka sasa ball possession SA 30 France 70 kweli muujiza unahitajika.
 
Back
Top Bottom