working experience

Mtende

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
6,385
7,295
wadau tusaidiane,hizi nafasi za kazi zinazotangazwa kila siku vijana wengi wana qualification lakini working experience inayohitajika ni too much jamani,eti unakuta working experience 6-8 years,sasa sisi freshers from school tutapata wapi kazi kama mambo yenyewe ndo hayo?wazee wataajiriwa vijana tutabaki mitaani tu na kujiajiri wenyewe
 
Nakushauri ukiona kazi ya 2 or 3 yrs exp. we apply tu. Wengi hawana exp.na mwisho wa cku utaitwa wewe.
 
wadau tusaidiane,hizi nafasi za kazi zinazotangazwa kila siku vijana wengi wana qualification lakini working experience inayohitajika ni too much jamani,eti unakuta working experience 6-8 years,sasa sisi freshers from school tutapata wapi kazi kama mambo yenyewe ndo hayo?wazee wataajiriwa vijana tutabaki mitaani tu na kujiajiri wenyewe


usiogope mdogo wangu watu wa dizaini hiyo wachache sana na waliokuwepo huwa hawaombi, wana kazi zao labda wapewe ofa nzuri na marupu rupu, na assuarance kibao.
 
Hapo ndo hua pananichefua sana katika suala la kuomba kazi,hivi kweli mtu unaweka unataka employee mwenye 7-15 years xperience kama kazi za UN,UNDP,USAID nk, suala la elimu bado hapo na mengineyo ya computer,ku-work under pressure nk mi huwa naona wakati mwingine kama wanamlenga m2 wanayemjua mwenye hizo sifa coz hao wa2 kuwapata kazi, pia 2nashauriwa 2jiajiri but bado solution hiyo ni mgogoro coz wengi ha2na mitaji,in depth knowledge ya ujasiriamali ha2na further more ujasiri ni 5% sasa itakuwa vp? Graduate wengi mind set ze2 zinawaza kuajiriwa 2 n nothng else,poor us
 
nakupongeza kama ultimately umeona dawa ni kujiajiri.
lakini we kazi applytu. kuna zile unazoona kweli huwezi kuitwa, mfano we ni fresher
toka chuo, vacancy inmhitaji profesa, hyo acha, ila hizi za exprienc a miaka3 apply confidently.
 
we jikakamue tu andika CV na mauongo kibao peleka kichwa kichwa, mara nyingi kampuni nyingi hazifanyi interview wanakukabidhi tu department flani kule unawakuta waungwana wanakuelekeza cha muhimu die trying
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom