nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 694
Habari wanajamii forum,Leo ningependa nizungumzie jambo moja kuhusu wanawake,wanaume wengi tumekuwa tupigwa kibuti na wanawake tunaowatongoza bila kujua sababu nni na wakati mwingine huwa tunafikiria wametukataa kwa sababu hatuna hela na sababu zinginezo pengine sio kweli,nilichogundua wanaume wengi huwa wanawafukizia wanawake,"women are attracted not chased",mwanamke siku zote huwa anavutiwa sio kufukuziwa,mwanamke ni kama kipepeo hutua kwenye maua mazuri yanayomvutia,kwa hiyo kama wwe ni mwanaume unataka umpate mwanamke wwe unachotakiwa ufanye nikumvutia mwanamke utamvutiaje mwanmke?,vaa vizuri kuwa msafi,tembea kama mwanaume mwenye afya sio mwanaume unatembea kama umelazimishwa,ongea kama mwanaume sauti nzitonzito sio mwanaume unaongea kama umebana pua,jiamini na ujifanye wa thamani wanawake wanapenda vitu vya thamani,ila usipende kujisifia wanawake wengi hawapendi mwanaume anayependa kujisifia,katika maongezi mwanaume unatakiwa umchallenge mwanamke sio kila kitu anachosema unakubuliana nae2 vingine unamkosoa,be unpredictable mwanaume unatakiwa mwanamke asikusome akakuelewa mwanzo mwisho,mwanaume unatakiwa usiwe unatabilika uwe unabadilika kulingana na maeneo,mwanamke ukimtongoza kwa Mara ya kwanza anaweza akakupa(shit test)kwa mfano akakutukana ikitokea hali kama hiyo mwambie hapo hapo kwamba hujapendezwa na tabia yake yakukutukana,usipende kuwauliza uliza maswali wanawake especially kwa mahusiano ya mwanzoni,hizo ni baadhi2 ya mbinu za kumvutia mwanamke nyingine mnaweza mkaongezea wengine!!
Note:unaweza ukawa unapesa ukikosa mbinu za kumvutia msichana unaweza ukawa unaishia kuchunwa pesa zako bila mafanikio yoyote yakupendwa na msichana!!
Note:unaweza ukawa unapesa ukikosa mbinu za kumvutia msichana unaweza ukawa unaishia kuchunwa pesa zako bila mafanikio yoyote yakupendwa na msichana!!