Wizkidayo...

Wizkidayo...

wait for Made In Lagos...wataacha kabisa kumfananisha Starboy na vitu vya ajabu
Hiyo Album inaandaliwa kinoma noma....Inaonekana kuna wakitaifa wengi humo ndani...


Mwenyewe alisema hata Sound from the other side haiingii humo...
 
Hiyo Album inaandaliwa kinoma noma....Inaonekana kuna wakitaifa wengi humo ndani...


Mwenyewe alisema hata Sound from the other side haiingii humo...

Tayari ishakamilika anaitafutia timing tu.....Mwaka jana mwishoni alitoa ep yake "Soundman" bila promotions wala release date ni moto...jamaa anajua sana..muziki wake unaishi anajitahidi kukaa muda mrefu akitengeneza kitu chenye ubora
 
Tayari ishakamilika anaitafutia timing tu.....Mwaka jana mwishoni alitoa ep yake "Soundman" bila promotions wala release date ni moto...jamaa anajua sana..muziki wake unaishi anajitahidi kukaa muda mrefu akitengeneza kitu chenye ubora
Soundman ilikuwa na ngoma8 tu lkn balaaa...Kuna Dude linaitwa Jam,Mine,Electric n.k

Sijui itakuwa na Track ngapi?😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom