Wizkid: Ojuelegba

Wizkid: Ojuelegba

Wizkido mi ninamkubali toka long time...kiasi kwamba nilipousikia huu wimbo for the first time nikiwa salon nikataja jina la muimbaji hadi mkongo alinishangaa na umri huu nimemjuaje Wizkid ....hiyo ni staili yake ya kuimba huyu dogo....yuko juu zaidi ya Davido na ni wa long....

Nilianza kumpenda ule mziki aloimba na Femi Kuti....afu naupenda ule Caro...si wake ila ameimba muda mrefu kwenye hiyo collabo

He is also very handsome...ha ha ha

Ha haahaa kweli umemfatilia aisee
ila huu wimbo ni best aisee
 
niliangalia interview yake kwenye kipindi cha the juice..jamaa yuko vizuri kwakweli anajua anakoenda
 
Msanii Drake, pengine amemfahamu WizKid kupitia Chriss Brown ambae tayari amerekodi naye wimbo wa pamoja unaoitwa African Bad Girl uliotoka mnano mwaka jana, 2014.

Drake, aliguswa na muziki huu Ojuelegba kupitia kuuona kwenye Kituo cha TV cha Trace ambako huko kuna kipindi cha #TraceUrban huchezwa kama wimbo wa Taifa!

Wiki hii iliyoisha, Drake alifanya Surprises Mbili;

Ya Kwanza: Kum-follow Wizkid kwenye A/C yake ya Twitter huku akiambatanisha na Maneno yanayopatikana kwenye wimbo huo; "Thanks God for a life, I can't explain..." ambayo yaliimbwa na Wizkid mwenyewe.

Ya Pili: Kuiweka hewani ghafla REMIX ya huo wimbo akiwa ametia mashairi yake kwa mtindo wa Ku-rap.

Ngoja nikuzururishe kidogo kwenye haka ka-stori kafupi..

Mwaka Juzi, yaani 2013, Chriss alimvuta Wizkid kutoka Niger hadi Ghana na kucheza nae jukwaani wimbo uliokuwa ukivuma Ghana enzi hizo, Azonto wa FuseDogg ambao naye Wizkid aliufanyiaga remix. (Kuna story ndefu hapa ni namna gani Chriss alifahamiana na Wizkid.. Ipo siku yake)

Ile ilinoga, Mwaka huu mwanzoni, Chriss na WizKid walikutana tena kwenye Jukwaa Moja kule Durban, S.A katika ziara ya Chriss duniani kutangaza albamu yake ya X na wakapafomu nyimbo mbili, Show you de Money, na huo wao wa African Bad Girl ambao ulitisha sana kwa shangwe.

Nini kinahitajika zaidi?!...

Onja hii kwanza


Kisha Burudika na hii Remix ya Ojuelegba na Drake;


Nawakabidhi huu mzigo kwenu ndugu Heaven on Earth na The Boss..


Safi sana mkuu umesomeka vilivyo
 
Last edited by a moderator:
Daaah huu wimbo unazidi kupata kik sanaa kutoka kea mastar wa njeee....
 
I still rate Davido higher than Wizkid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom