Wizkid: Ojuelegba

Wizkid: Ojuelegba

Yap yap...nimegundua hawa Wanaija wakitulia kuimba wazuri tu sana
ingawa wanapenda sana nyimbo za ku dance....

Hawa jamaa wanajitahidi sana aisee, kuna moja ya Timaya- Sanko, video yake inanipaga burudani sana.
 
mawazo yangu ni mimi tu naemkubali kinoma Wizkid,hasa hiyo ngoma ya ojuelegba..nikitazama hiyo video na verse za hiyo nyimbo hunifanya niwaze mbali sana,sometime huwa nauimba mkoa wangu ulio nikuza ..haaahaaa!!!!
 
Huu wimbo naweza kuusikiliza siku nzima na nisichoke.Kijana ana sauti nzuri sana
 
Ojuelegba ni mtaa maarufu wenye mishemishe nyingi sana jijini Lagos all in all Starboy namkubali si nyimbo zake tu ni mpaka lifestyle yake hanaga mbwembwe nyiiingii
 
Ameutendea haki sana tu, kuna mwingine naupenda sana pia nao hauchezeki but unanivutia sanaa, unaitwa Ololufe, Flavour Ft Chidinma, yaani huyu mdada nampenda balaa, ka cute sana!

Ololufe...the best song of the century ever!!!!!!!! uwa unanipa feelings kali sana,lazima niusikilize daily kabla ya kulala.
 
Dah hii nyimbo naikubali sana. Ilipigwa maeneo flani tulivu nilkua napata beer kidogo ilibidi nimwambie waita peleka beer 2 kwa dj. Alinikosha sana I lov ths song.
 
STAR BOY WIZZY namkubali sana..toka holla at your boy na tease.. Hawa ndio wasanii sasa..siwezi kuacha kumpigia wizzy kid kura eti nimpigie Diamond..kwa lipi hasa.. acha nisiwe mzalendo kama uzalendo



Dogoo namkubali sanaa coz ana
1)sauti ya kipekeee ... yanii mimi dogoo nukimwangalia na mwona up coming #2face
2)Then hanagaa zilee sifaa za kijingaa kama davido&dimond.
3)nyimbo zilizo nivutia top 5 #ojuelegba #expensive shit #show my money #carol #halla t you
Team #lastarboy

Anachovutia watu hana mbwembwe sana. Na pia uwezo wake wa Kurap na Kuimba anafit kila kona.
 
Wizboyy- One plus one

yei yei yei
chai chai
one plus one is one
there is nobody treat you like i do

oooohhh
 
Hahaha, mie mvivu kufuatilia lyrics, leo umenifanza nikausikiliza na lyrics zako. Huwa najua hapa tu

  • I am feeling good tonight
    This thing got me thanking God for life
    Oh, I can’t explain
    I can’t explain eh yea​





Sindikizia na morning glory. Burdaan.
 
Last edited by a moderator:
Ameutendea haki sana tu, kuna mwingine naupenda sana pia nao hauchezeki but unanivutia sanaa, unaitwa Ololufe, Flavour Ft Chidinma, yaani huyu mdada nampenda balaa, ka cute sana!

Nyamayao kwa nijeria huu ndo wimbo bora zaidi kwangu ila nimeona kama dada alimfunika zaid mr flavour..ila ni mzuri kwa kweli video pia godfather kaitendea haki kwa kweli
 
Last edited by a moderator:
Ndo nausikia leo...
I don't know but music is not that into me...
 
Huu mziki sio mchezo...kijana alitulia sana. Mimi ni mpenzi wa mziki wa dansi pia...mwaka ambao FM Academia walitoa album yao ya "Dunia kigeugeu", niliwaambia rafiki zangu kwamba FM wamejiwekea limit, hawataweza kutengeneza Album nyingine nzuri kuliko hiyo. Na Wizkid nae naona hapa kama anaelekea kujiwekea limit... Ojuelegba ni kazi nzuri mnoo!!
 
Wizkid yuko fit sana kuna song wameimba na Radio & weasal- DON'T CRY jamaa kaimba fresh sana kidogo awapoteze my favorite singers in east Africa (Radio & weasel)
Ololufe ya Mr Flavour iko powa sana. Jamaa Flavour namkubali sana hasa wimbo huu hapa https://www.youtube.com/watch?v=2lUFM8yTtUc
 
nyumba kubwa umeusikia huu wimbo?

Wizkido mi ninamkubali toka long time...kiasi kwamba nilipousikia huu wimbo for the first time nikiwa salon nikataja jina la muimbaji hadi mkongo alinishangaa na umri huu nimemjuaje Wizkid ....hiyo ni staili yake ya kuimba huyu dogo....yuko juu zaidi ya Davido na ni wa long....

Nilianza kumpenda ule mziki aloimba na Femi Kuti....afu naupenda ule Caro...si wake ila ameimba muda mrefu kwenye hiyo collabo

He is also very handsome...ha ha ha
 
Anachovutia watu hana mbwembwe sana. Na pia uwezo wake wa Kurap na Kuimba anafit kila kona.

Kwa sisi wafuatiliaji misifa anayo sana...ana tabia ya kushow off expensive watches online....kuna kipindi niliona wanaija wanamuhusia aache ubishoo Davido amekuja kumshika....ukizingatia anatokea familia poor mwenzie kazaliwa na silver spoon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom