VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Pale unapoamka na kukuta wajomba wamechukua wanachokitaka. Hasa kama una Flat TV, ujue hiyo si mali yako, watunzie wenyewe siku wakihitaji wataijia.
Uzuri ukitoa taarifa mapema na ukawa na kielelezo chochote cha umiliki, mali yako hata kama ni baada ya mwaka itapatikana tu