Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,055
- 1,890
- Thread starter
- #41
Nashukuru kwa kunifungua kiakiliKuishi mjini. Fedha haiwekwi bila kuhesabiwa. Huo waliokuibia ni wizi wa zamani sana Manzese Msufini (kwa sasa darajani). Ilikuwa unauziwa suruali ya Rocky baadaye anasema aah, hela yako kidogo bwana inabidi tutoe mkanda...kwa kuwa hutakuwa radhi, utadai urudishiwe pesa yako. Muda huo tayari keshatoa noti ya ndani kaweka karatasi. Ukipokea tu hela ananyakua suruali yake, hutamuona kamwe.