Wizi wa watoto

Wizi wa watoto

bunited

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2014
Posts
815
Reaction score
216
Tetesi:kuna habari zinazoenea kwa kasi juu ya wizi wa watoto hasa DAR.habri zaid zinadai wezi hao wanatumia gari aina ya Noah nyeusi.Pindi wanapoiba watoto huwakata vichwa na kuwanyofoa sehemu za siri.Hata Jana nackia tabata shule pale hiyo gari ilikutwa ikiwa na vichwa vya watoto.km ni kweli kwann serikali haifuatilii suala hili ?mana watoto wapo mashakani.
Tafadhali mwenye taarifa rasmi za uhakika na kuhusu kilichotokea Jana tabata shule atuambie.Nawasilisha
 
Rasimu lazima isainiwe ndani ya siku 30,miezi 3 kwa ajili ya kutoa elimu kwa wananchi then kuipigia kura! Tujadiri Rasimu iliyopendekezwa hao ma Spin Doctors wanaotutoa kwenye mijadara ya Rasimu watafute mbinu nyingine.
 
Dah! Nimeisikia iyo kama kweli Tanzania tupo pabaya wamebadili stail mwanzo ilikua albino sasa watoto maisha haya ya wasiwasi katika nchi yetu mpaka lini? Kama kweli serikali ichukue hatua jamani
 
Nimeona kwenye taarifa ya habari jana ITV wamekanusha jambo hilo na walimu wa hiyo shule pia wanadai watoto wote wako salama.Watu walikuwa wamejazana kituo cha polisi Tabata wakitaka kupiga mawe noah iliyokuwepo hapo kituoni wakazuiliwa. Askari walidai ni gari ya sraff mwenzao hivyo waliwatawanya wananchi
 
Tetesi:kuna habari zinazoenea kwa kasi juu ya wizi wa watoto hasa DAR.habri zaid zinadai wezi hao wanatumia gari aina ya Noah nyeusi.Pindi wanapoiba watoto huwakata vichwa na kuwanyofoa sehemu za siri.Hata Jana nackia tabata shule pale hiyo gari ilikutwa ikiwa na vichwa vya watoto.km ni kweli kwann serikali haifuatilii suala hili ?mana watoto wapo mashakani.
Tafadhali mwenye taarifa rasmi za uhakika na kuhusu kilichotokea Jana tabata shule atuambie.Nawasilisha

Watafute wa magazeti pendwa watakuambia.
 
Nimeona kwenye taarifa ya habari jana ITV wamekanusha jambo hilo na walimu wa hiyo shule pia wanadai watoto wote wako salama.Watu walikuwa wamejazana kituo cha polisi Tabata wakitaka kupiga mawe noah iliyokuwepo hapo kituoni wakazuiliwa. Askari walidai ni gari ya sraff mwenzao hivyo waliwatawanya wananchi


Huyo staff wao akaibadili rangi haraka
 
Watu walikuwa wamejazana kituo cha polisi Tabata wakitaka kupiga mawe noah iliyokuwepo hapo kituoni wakazuiliwa. Askari walidai ni gari ya sraff mwenzao hivyo waliwatawanya wananchi
Haiingii akilini, kwani tabata hakuna Noah nyeusi hadi watake kuivamia hiyo ya askari?
Jana nilipita tabata shule, ule umati nilioukuta hadi niliogopa
 
Kamanda umenena vizuri sana.
Hawa jamaa kwa kuchepusha mada wamezidi, hii ni kututaka wananchi tuhamishe mijadala badala ya kujadili mjadala wa Rasimu yenye makosa iliyopitishwa sasa wanataka tujadili wizi wa watoto. \Kumbuka kikombe cha babu, Dengu na inawezekana yalikuwepo mengi kabla. Mtazamo wangu.

Rasimu lazima isainiwe ndani ya siku 30,miezi 3 kwa ajili ya kutoa elimu kwa wananchi then kuipigia kura! Tujadiri Rasimu iliyopendekezwa hao ma Spin Doctors wanaotutoa kwenye mijadara ya Rasimu watafute mbinu nyingine.
 
Mtu aliyeibiwa mtoto aanze kujadili rasimu ya katiba? Kweli?
 
Haiingii akilini, kwani tabata hakuna Noah nyeusi hadi watake kuivamia hiyo ya askari?
Jana nilipita tabata shule, ule umati nilioukuta hadi niliogopa

Hata mimi nilihisi kuna jambo wanalificha ila kama hao watoto wamechinjwa kweli tutajua tu kwa sababu wazazi watalalamika.
 
Back
Top Bottom