Wa nyamadyaki
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,178
- 526
You are not serious!!Hela za kitimoto Na bia mnazo ila mkiambiwa mchangie masela kitaa kwa ajili ya ulinzi hamna. Wacha waibe *****.
You are not serious!!Hela za kitimoto Na bia mnazo ila mkiambiwa mchangie masela kitaa kwa ajili ya ulinzi hamna. Wacha waibe *****.
Taem malimbukeni ni shida sana!Gari gani usije kukuta una VITZ halafu unadai umeibiwa vifaa vya Gari?
Gari gani usije kukuta una VITZ halafu unadai umeibiwa vifaa vya Gari?
Siyo kitu kidogo kihivyoMh. Mwigulu Nchemba kwanini unashindwa kuthibiti kitu kidogo namna hii???
Nimepita mitaa ya sinza jana asubuhi, nimekuta hao jamaa wameiharibu IST ya mtu kwa kung'oa bumper ya mbele, show grill, taa zote za mbele na nyuma, side mirrors na bado wamevunja kioo kidogo cha pembeni nyuma ya gari. Walichofanya ndani ya gari sikijui. Cha kushangaza, huo mtaa "unalindwa na walinzi shirikishi" ambao kila mwezi wanavuta mshiko wa ulinzi.
Ukubawa wake ni nini? Ina nchi ipo mikononi mwa hao wezi?? Hakika hili ni jambo mojawapo Mwigulu litamuondoa kwenye nafasi yakeSiyo kitu kidogo kihivyo
Watu wana anza na VITS mpaka BMW so ni kujipanga tuu acha kuwaonea wenzakoHv kweli unaendeshaje VITZ barabarani mwanaume na ww unajiita una Gari