Kinachotokea ni kwenye matanki yanakuwa na mafuta kidogo,sasa wanapojaza mafuta kwenye gari upepo unakuwa 50% na 50% mafuta. Mimi sikuhizi natumia kidumu nikienda sheli kuweka wese,ukiona wanakataa ujue wanataka wakupige. pili uzembe w Ewura kutokuwa makini na rushwa wakati wa ukaguzi. Wizi huo unaanzia kwea meneja wakishirikiana na watumishi wao. Kuweni makini,usione aibu kutembea na Vidumu. shell hizo ni Puma ya Kimara,Olx ya Magomeni na nyinginezo nyingi.
Mi naweka kwene kidumu thn napaki pembeni nakamiliosha fueling yangu,maisha laini.