Jana alhamisi gazeti la m.a.w.i.o la kila wiki wamechapisha majina langu likiwemo kuwa ni "makapteni Wa ushindi Wa Ccm" na tupo takibrani 60000 tumeshambazwa nchi nzima na tunalipwa 125000 kwa wiki huu ni uongo na wanaleta uchochezi kwa watanzania na kutaka kuharibu uchaguzi kwa kuona Ukawa wanashindwa.
Natoa rai kwa wizara husika kulichukulia hatua stakihi hili gazeti kwa kufanya sweeping analysis yenye Marengo Wa fallacy of irrelevance.
nimekasirika sana kuchafua Ccm yangu.
Hivi bado uko CCM?
Kuweka jina la mtu kwenye gazeti si tatizo...
Jana alhamisi gazeti la m.a.w.i.o la kila wiki wamechapisha majina langu likiwemo kuwa ni "makapteni Wa ushindi Wa Ccm" na tupo takibrani 60000 tumeshambazwa nchi nzima na tunalipwa 125000 kwa wiki huu ni uongo na wanaleta uchochezi kwa watanzania na kutaka kuharibu uchaguzi kwa kuona Ukawa wanashindwa.
Natoa rai kwa wizara husika kulichukulia hatua stakihi hili gazeti kwa kufanya sweeping analysis yenye Marengo Wa fallacy of irrelevance.
nimekasirika sana kuchafua Ccm yangu.
Nenda mahakamani
we kama upo imekla kwako jitoe faster now ni mabadiliko tu akuna namna
Kama kweli jina lako lipo hiyo habari ni kweli
Jina lako lilikuwa namba ngapi kwani?
Duh, mmechomolewahuko mnaanza kuhaha ni kawaida yenu kukanusha kila kitu. Lakini wewe inaonekana ni mwongo umekuja kupima hali ya hewa tu hapa.
Duh, mmechomolewahuko mnaanza kuhaha ni kawaida yenu kukanusha kila kitu. Lakini wewe inaonekana ni mwongo umekuja kupima hali ya hewa tu hapa.
Jana alhamisi gazeti la m.a.w.i.o la kila wiki wamechapisha majina langu likiwemo kuwa ni "makapteni Wa ushindi Wa Ccm" na tupo takibrani 60000 tumeshambazwa nchi nzima na tunalipwa 125000 kwa wiki huu ni uongo na wanaleta uchochezi kwa watanzania na kutaka kuharibu uchaguzi kwa kuona Ukawa wanashindwa.
Natoa rai kwa wizara husika kulichukulia hatua stakihi hili gazeti kwa kufanya sweeping analysis yenye Marengo Wa fallacy of irrelevance.
nimekasirika sana kuchafua Ccm yangu.
Hongera kuandikwa gazetini maana hujazoea
Huu mpango upo nimeona majina mawili ya niwajuao na tumewapeleleza ni kweli kuna mambo yapo tayari yameshaanza.Na huko vijijini wanasema ni maagizo kutoka ofisi ya Rais.