Wizi wa kitoto huu

Wizi wa kitoto huu

Mkuu naona binti amekuvuruga sana

HARUFU tangu lini ukaona mwizi anaibiwa ?unaniuzia cheni bandia nakupa noti feki ! Ukijifanya unaumia tunabadili direction....!
 
Hahahahahaha! Atakulaje hela yako vzr, hata fundi akitengeneza kitu lazima azunguuuuuuuuke kuonyesha ametumia nguvu nyingi ili umlipe vzr! Mjini ukiwa na akili nyingi unaish vzr tu
 
Me wakianzaga kulialia nahamoshiaga kwenye tigo nikipiga ---- zangu kama kumi hiv njia inalainika na kelele zinaisha na kunikumbatia saaaaaana
Dagii ule mchezo si mzuri hata shetani mwenyewe akionaga anakimbia
 
HARUFU tangu lini ukaona mwizi anaibiwa ?unaniuzia cheni bandia nakupa noti feki ! Ukijifanya unaumia tunabadili direction....!
Halafu inakua ngoma droo mambo yote yanasetiwa kwenye mtandao

Alieuza cheni kauza cheni bandia ... na alieuziwa cheni katoa ela bandia

Kweli bongo darisalama utalia lia lia ...
 
Halafu inakua ngoma droo mambo yote yanasetiwa kwenye mtandao

Alieuza cheni kauza cheni bandia ... na alieuziwa cheni katoa ela bandia

Kweli bongo darisalama utalia lia lia ...

bongoflava za mwanzo kabisa
 
Nakufahamu fika najua wewe si kigoli una mtoto tayari sasa kelele za nakuumiza zinatoka wapi ?
Wizi mtupu sina ya punda wala ya ngamia, sijaivesha hata kipini, Nimeingiza hata nusu haijafika waanza kelele naumia naumia
Nikikuhoji unasema hujafanya muda mrefu sana tangu ulipotendwa kwa kumfumania x wako akiwa ma mwanamke mwingine
Jamani punguzeni usanii na wizi wa kitoto tuna fahamu vizuri tu njia ambayo haipitwi mara kwa mara na tunazifahamu ambazo ni Morogoro Rd- Ubungo Kariakoo
...kwakweli inaonekena una mapenzi ya ki nguvunguvu kama maneno yako yanavyodhihirisha kadiri ulivyoandika hii thread,sababu ya mwanamke kuumia ni nyingi,inaonekana ufahamu wako ni mdogo sana katika field hiyo....halafu unaleta hayo mazungumzo na mwenzako hapa hadharani ili nini?au ulikosa kitu cha kuandika,si lazima uandike new thread kila wakati,kama huna la maana la kusema bora kusoma za wengine.....
 
bongoflava za mwanzo kabisa
Zilitulia sana

Halafu kuna dude moja nalo lilitamba kipindi hicho hicho - jide yupo na necha

Chorus -
Jide kama anaonyesha kujuta kuondoka kwa mzee, kitu kama "naona umuhimu wako ...
Wewe mtaalamu najua unaweza kuufahamu zaidi, hebu mwaga data mkuu
 
Maandalizi na hisia vinahusika sana. Kimoja wapo kinapokosekana maumivu lazima yatakuwepo. Ila wakati mwingine ni magonjwa ya kike.
 
Nakufahamu fika najua wewe si kigoli una mtoto tayari sasa kelele za nakuumiza zinatoka wapi ?
Wizi mtupu sina ya punda wala ya ngamia, sijaivesha hata kipini, Nimeingiza hata nusu haijafika waanza kelele naumia naumia
Nikikuhoji unasema hujafanya muda mrefu sana tangu ulipotendwa kwa kumfumania x wako akiwa ma mwanamke mwingine
Jamani punguzeni usanii na wizi wa kitoto tuna fahamu vizuri tu njia ambayo haipitwi mara kwa mara na tunazifahamu ambazo ni Morogoro Rd- Ubungo Kariakoo

Mkuu usidhani ana maana anaumia kweli - labda ananena kwa lugha!
 
Kwa ufahamu wangu hii kitu ni elastic haimaanishi kwamba mtu akizaa ndio ule ukubwa haurudi katika hali yake ya kawaida...

Mwambie huyo....Kama ingekua hairudi mbona ingekua balaa...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
...kwakweli inaonekena una mapenzi ya ki nguvunguvu kama maneno yako yanavyodhihirisha kadiri ulivyoandika hii thread,sababu ya mwanamke kuumia ni nyingi,inaonekana ufahamu wako ni mdogo sana katika field hiyo....halafu unaleta hayo mazungumzo na mwenzako hapa hadharani ili nini?au ulikosa kitu cha kuandika,si lazima uandike new thread kila wakati,kama huna la maana la kusema bora kusoma za wengine.....

kama hujaipenda pita kimyakimya kwenye msafara wa nyani kima pia hawakosi
 
Why does someone have to pretend aisee, kama naumia kweli nasema kama nimeipenda pia nasema lol si bora kupiga kelele za kuisifia maana zote kelele tu....!
 
Why does someone have to pretend aisee, kama naumia kweli nasema kama nimeipenda pia nasema lol si bora kupiga kelele za kuisifia maana zote kelele tu....!

Na uso uoneshe uhalisia wa hizo kelele no matter unaumia au unafurahia... !
 
Na uso uoneshe uhalisia wa hizo kelele no matter unaumia au unafurahia... !
Hahahaahaaa sasa kaka hapo ndo tatizo lilipo... wengine tukifurahia sana unaweza kuta tumekunja uso utasema unaumia! Wapi Karucee na kule kusikilizia kwake kwa "sssssssss aaaaaaa...."
 
Back
Top Bottom